Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Habari waungwana wa jf.
Taarifa nying kuhusu mikopo kutoka Taasisi za kifedha nchini ( Bank) ni za muda Sana.
Binafsi nafikiria kwenda kuomba mkopo CRDB au NMB.
Naomba maoni kutoka kwenu wadau juu ya Mambo Kama.
1. Riba.
2. Masharti.
3. Ubora wa huduma n.k
Mkopo ninaoomba dhamana yake ni mshahara wangu kutoka Hazina ( mtumishi wa Umma)
Naomba kuwasilisha.
Taarifa nying kuhusu mikopo kutoka Taasisi za kifedha nchini ( Bank) ni za muda Sana.
Binafsi nafikiria kwenda kuomba mkopo CRDB au NMB.
Naomba maoni kutoka kwenu wadau juu ya Mambo Kama.
1. Riba.
2. Masharti.
3. Ubora wa huduma n.k
Mkopo ninaoomba dhamana yake ni mshahara wangu kutoka Hazina ( mtumishi wa Umma)
Naomba kuwasilisha.