Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Habari ndugu nauliza hivi kama umepangiwq kufanya interview kinondoni je unaenda kwenye kituo kikubwa cha polisi cha wilaya hiyo kufanya interview au unaenda kwa mkuu wa wilaya wa kinondoni kufanya interview
 
wakuu wakuu PT washatoa majina ya usaili uko na usail unaanza tareh29 mwenye majina atume humu bac
 
Ebhna hawa watu ni wengi sana kwani kuna nini huko tanzania.
Hao watu ni weng ila hautaamin watakavyokuja kubakishwa watu elf4 kweny bog lakwenda ccp๐Ÿ˜‚โ€ฆ..wakuu tutafute mbanga aisee
 
Amkeni majobless mkacheki majina yenu kama mmekumbukwa kwenye usaili.Majina yameshatoka.
Daaah aisee sisi majobless tunanyanyasika sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ