Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Hapana mkuu sio hivyoJeshi halitaki wasomi,linataka zero brain wa kuiba kura 2025.
Au sioVijana tujikite kwenye kilimo cha viazi kinalipa View attachment 3049345
Kwanini degree wachache sana hivyoKwa chini chini wale wa cheti cha form 4 na 6
Inawezekana wakachukuliwa wote..
Ukizingatia umri pamoja na wastani wa alama zao..
Hawa wa degree kuna shida...
Kama kitu hautambui ni bora kukaa kimya kijana. Usioneshe ujuaji.Bado sana
AliipingaZoezi hilo limeshaisha muda mrefu!
๐๐๐๐Mkeka๐๐๐๐
Kimenuka mkuuu ๐๐Kimenuka
Vip mkuu umo?Semaa kimeumanaaaaa..[emoji1]
Ahahah mimi limekosekana bwana watu tumeminywa wa degreeeMungu ni mwema naona nipo kweny PDFโฆโฆwacha tukalambe asali sasa๐๐บ๐บ
Hao watu ni weng ila hautaamin watakavyokuja kubakishwa watu elf4 kweny bog lakwenda ccp๐โฆ..wakuu tutafute mbanga aiseeEbhna hawa watu ni wengi sana kwani kuna nini huko tanzania.
Daaah aisee sisi majobless tunanyanyasika sana ๐๐๐๐Amkeni majobless mkacheki majina yenu kama mmekumbukwa kwenye usaili.Majina yameshatoka.