X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi usahili wa hawa jamaa huwa upo vp?Pdf Hilo hapo kazi kwenu
Vip mkuu ulitumia bachelor au?Mkuu mwendo nimeumaliza, ngoja niendelee pambania PSRS
Mkuu kwema sorry una ronja zozote Hawa madogo wameingia Dec mwaka jana wanatola loniGross salary kwa proffesional huwa ni sawa taasisi nyingine za serikali. For example Medical Doctor atapata mshahara sawa na salary scale ya professional yake serikalini...the same applies to Clinical Officer...Engineer..nurse etc( hii ni standard ambayo iliwekwa)....utofauti utakuja kwenye Allowances ambazo kuna zile general kwa polisi wote regardless na proffesion ila kuna additional allowances zingine zinategemea na proffession uliyopo.
Wale madogo wako CCP toka Dec 1 kozi wanafunga lini????Jaman mbona haya mambo nilisema toka week iliyopita kuwa juma tatu kuna kitu tawaonesha hapa.
Au mnazani fundi manyumba nakosea mimi
Unawaogopa nini kakaDu nimechaguliwa kwenda lakini polisi nawaogopa Sana nafikiria kupiga chini hii offer.
Kivip mkuu?Kunauwezekano ya majina ya usahili kuongezeka
Masharti makali na kuendeshwa Kwa amri.Unawaogopa nini kaka
Salary ya hao PT kwa 4m4 anaeanza anakunja ngap kwa mwez?Masharti makali na kuendeshwa Kwa amri.
Kwa kweli sijui ila kama wanalipa kama grade ya serikali sijioni Nikienda.Salary ya hao PT kwa 4m4 anaeanza anakunja ngap kwa mwez?
Kigezo gani wametumia kuchagua kwa wewe unavyoonaMungu ni mwema naona nipo kweny PDF……wacha tukalambe asali sasa😋🕺🕺
Liko wapiiiii?Kalaga baho umeliona pdf mkuu?
Mzee mwenzangu vp umeliona zigo hilo humo au simanzi inazid kutawala??Liko wapiiiii?
Bakabaka nalo limekaaje wazee mbona hamsemi?Mzee mwenzangu vp umeliona zigo hilo humo au simanzi inazid kutawala??