Kweli aupo mkuu?Ahahah mimi limekosekana bwana watu tumeminywa wa degreee
Sipo mkuu *****. Kila la kheri ukalambe asali mkuuKweli aupo mkuu?
Daaah tatizo ujaelewa mambo wweKama kitu hautambui ni bora kukaa kimya kijana. Usioneshe ujuaji.
Ishatumwa mbona juu hapo mkuutumeni hyo pdf
Ndionaona imeandikwa 2023 ndo hyo?
Mkuu vip pdf umeliona?Mimi sioni hata kuchelewa maana nauli ya kwenda Dodoma sina.. bora wajetume huru kwanza tupate nauli
Kalaga baho umeliona pdf mkuu?Mkuu nina stress hapa za kutosha. Kama ni mwez ujao tuambiane tu mana nishachoka kuunga ungainly mtaani. Naomba nipate accuracy tu kwamba ni lini hasa 💣💥
Isije ikawa soon kwako mana kwangu mm geto lumebakia unga na dagaa wa kula siku 20 tu
sijaliona tumaMkuu vip pdf umeliona?
Mkuu mwendo nimeumaliza, ngoja niendelee pambania PSRSVip mkuu umo?
Degree mkae kwa kutulia hasa forensic accounting na economics wame wachinjia poleniMkuu mwendo nimeumaliza, ngoja niendelee pambania PSRS