Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tumemaliza vipimo saa8 mchana alaf baada ya apo wakatuacha wakasepa, form6 tupo kama 680……watu wamekaa mpaka jion wakaona huu ujinga watu wakasema wasepe, aloooo wale maafande wamekuja kurud saa1 usiku na moto wakasema nyinyi mliobak ndo wavumilivu tukahesabu namba chapu form6 tukawa kama200 kila mtu kaambiwa akariri namba yake then wakatumwaga….sasa cjui wasiokuepo itakuaje
 
Ndio imeisha hiyo kesho hakuna kucheka na Kima asiyekuwepo na lake halipo hapo disko kaingia masai mzee
 
[emoji28]sasa wanawaachaje bila maelekezo
 
Hukusimamisha mb*ro? Nasikia wanakagua kinyeo kama Manula yupo
Daah we acha tu mkuu, amna kinyeo hawakagui anakwambia unyooshe mikono ugeuke nyuma then ugeuke tena mbele then tena nyuma….yan naona wanasaminisha na ayo matraaak****😂😂😂
 
Walifanya tu kusud na mm nilishtuka nikaona ngoja nikomae na njaa yangu nisiondoke maana hawa jamaa nawajua……ogopa sana kufanya kitu ambacho hawajakwambia mzee
[emoji28]sasa wanawaachaje bila maelekezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…