Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Makamanda wanawaza kudojiMakamanda mboni kimyaaaa, au punzi zishakata maana watu wanaulizia MSHAHARA TU kama washapita kwenye usaili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda wanawaza kudojiMakamanda mboni kimyaaaa, au punzi zishakata maana watu wanaulizia MSHAHARA TU kama washapita kwenye usaili.
Ndio imeisha hiyo kesho hakuna kucheka na Kima asiyekuwepo na lake halipo hapo disko kaingia masai mzeeTumemaliza vipimo saa8 mchana alaf baada ya apo wakatuacha wakasepa, form6 tupo kama 680……watu wamekaa mpaka jion wakaona huu ujinga watu wakasema wasepe, aloooo wale maafande wamekuja kurud saa1 usiku na moto wakasema nyinyi mliobak ndo wavumilivu tukahesabu namba chapu form6 tukawa kama200 kila mtu kaambiwa akariri namba yake then wakatumwaga….sasa cjui wasiokuepo itakuaje
Hukusimamisha mb*ro? Nasikia wanakagua kinyeo kama Manula yupoYani leo nimemvulia nguo jidada mm daah🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji23]sio daktar wa kiumeYani leo nimemvulia nguo jidada mm daah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28]sasa wanawaachaje bila maelekezoTumemaliza vipimo saa8 mchana alaf baada ya apo wakatuacha wakasepa, form6 tupo kama 680……watu wamekaa mpaka jion wakaona huu ujinga watu wakasema wasepe, aloooo wale maafande wamekuja kurud saa1 usiku na moto wakasema nyinyi mliobak ndo wavumilivu tukahesabu namba chapu form6 tukawa kama200 kila mtu kaambiwa akariri namba yake then wakatumwaga….sasa cjui wasiokuepo itakuaje
Daah we acha tu mkuu, amna kinyeo hawakagui anakwambia unyooshe mikono ugeuke nyuma then ugeuke tena mbele then tena nyuma….yan naona wanasaminisha na ayo matraaak****😂😂😂Hukusimamisha mb*ro? Nasikia wanakagua kinyeo kama Manula yupo
Demu mzee…..tena anakukodolea macho kodooo😂[emoji23]sio daktar wa kiume
Aaah kubabake haya mavuzi sinyoi.. UBAYA UBWELA HALAFU SICHEKI KAUZU ZAIDI YA DAGAAD
Demu mzee…..tena anakukodolea macho kodooo😂
[emoji28]sasa wanawaachaje bila maelekezo
Aaah kubabake haya mavuzi sinyoi.. UBAYA UBWELA HALAFU SICHEKI KAUZU ZAIDI YA DAGAA
HatarNdio imeisha hiyo kesho hakuna kucheka na Kima asiyekuwepo na lake halipo hapo disko kaingia masai mzee
Kaka kumbe upo Dom fanya 2onane wee unaonekana unauhakika 😂Wale wa dodoma huku form6 vipimo tayar kesho tunahakiki vyeti tu
Laleni mapema kesho msicheleweAhahaha vichungu vizuriiiiu
Kula mikanja.....
JKT RUVU hiyo Pakishua saana pale
hizi ni siri mkuu kilà mtu anajua unachojaribu kusimulia jikàze tu yapiteKumbe yale mambo ya kuvuana nguo yapoo wakuu