Kwann unasema ivo mkuu?Watu wengi sana wataenda
Hivi Gwaride huwa ni wote mnapiga kila siku au? na kwenye zile shughuli maalumu mfano za kuhitimu huwa wanachagua wakupiga Gwaride au wote?Depo CCP hakuna kitu kigeni maana vyote kuanzia mchakamchaka saa 9 alfajiri ni vya kawaida,labda usafi wa kunyoosha mavazi na ule UNGA WA WANGA(Starch)wanaowapa ndio huwa inasumbua mwanzoni,lakini ukishazoea jinsi ya kuuchemsha na kupiga pasi ni simple tu,sijajua posho Kuruta wanapewa shilingi ngapi kwa sasa mwisho wa mwezi,mimi nilipoingia Depo Juni 1998 tulikuwa tunalipwa 10,000 kila mwisho wa mwezi
Mbinu ni moja tu. KADI YA UVCCM.Jamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko
Asantni🙏
HAPANA,kule kuna Kombania,mfano Kombania A,B,C na Headquarter,na kila Kombania inajitegemea kwenye kulala kuna mabweni yao,kula kila Kombania ina Mess na Jiko lake,Maafande wake nk.Hivyo hata kufoleni mnafoleni kwa Kombania. Kwenye gwaride kunakuwa na mgawanyo kwa maana ya kwamba kuna ratiba. Wengine wanaweza kuwa darasani wanasoma vipindi,wengine wapo paredi wanapiga kwata nk.Kikubwa ni kwamba Mafunzo yote yanakuwa yanafafana kwa kila kombania. Kwenye gwaride la kumaliza ni wote japo wengine wanaweza wakawa kwenye kitengo cha Mafunzo ya Judo na Karate kwa ajili ya kuonyesha show siku ya kumaliza Mafunzo hivyo hao hawatafanya gwaride la kumaliza MafunzoHivi Gwaride huwa ni wote mnapiga kila siku au? na kwenye zile shughuli maalumu mfano za kuhitimu huwa wanachagua wakupiga Gwaride au wote?
HAPANA,kule kuna Kombania,mfano Kombania A,B,C na Headquarter,na kila Kombania inajitegemea kwenye kulala kuna mabweni yao,kula kila Kombania ina Mess na Jiko lake,Maafande wake nk.Hivyo hata kufoleni mnafoleni kwa Kombania. Kwenye gwaride kunakuwa na mgawanyo kwa maana ya kwamba kuna ratiba. Wengine wanaweza kuwa darasani wanasoma vipindi,wengine wapo paredi wanapiga kwata nk.Kikubwa ni kwamba Mafunzo yote yanakuwa yanafafana kwa kila kombania. Kwenye gwaride la kumaliza ni wote japo wengine wanaweza wakawa kwenye kitengo cha Mafunzo ya Judo na Karate kwa ajili ya kuonyesha show siku ya kumaliza Mafunzo hivyo hao hawatafanya gwaride la kumaliza Mafunzo
Shule Iko ukingoni polisi Leo wameendwa kuungwa mfuko wa psssf vijana 35000Shukran sana mkuu🤝🤝
35000 unamaanisha ELFU THELASINI NA TANO??Depo gani hiyo ichukue wengi hivyo??au ulimaanisha ELFU TATU MIA TANO??Shule Iko ukingoni polisi Leo wameendwa kuungwa mfuko wa psssf vijana 35000
35000 unamaanisha ELFU THELASINI NA TANO??Depo gani hiyo ichukue wengi hivyo??au ulimaanisha ELFU TATU MIA TANO??
Sorry mkuu typing error...shule Iko ukingoni maana Kila kitu madogo fresh35000 unamaanisha ELFU THELASINI NA TANO??Depo gani hiyo ichukue wengi hivyo??au ulimaanisha ELFU TATU MIA TANO??
Thanks sana mkuu sahihiItakua ni typing error badala ya kusema elf3 na mia5 yy kasema elfu35
🤝🤝Thanks sana mkuu sahihi
Ndo ikoje iyo sijaelewa mkuu?Hivi kumbe kabla ya kwenda depo wanaunganishwa katika mfumo wa payroll
Nadhan hii ni baada y kumaliza mafunzo ndo mnapata check number kuwa watumishi rasmi wa serikali...Sema mtakuwa mnalipwa posho kila mweziHivi kumbe kabla ya kwenda depo wanaunganishwa katika mfumo wa payroll
Mwezi huu uhakika wanamaliza Depo Maana Walianza Kozi Mwezi Wa 12 Tarehe 1, Muda umefika kabisa...Vijana naona ndo wanamalizia kozi wapo kweny semina ukoo, week hii au week ijayo naona PDF litamwagika🔥🔥
Nikitoboa nitakuchek inbox kuna vitu nikuulize mkuuMwezi huu uhakika wanamaliza Depo Maana Walianza Kozi Mwezi Wa 12 Tarehe 1, Muda umefika kabisa...
Wakishamaliza Rasmi Mwezi unaofata wanaungwa kwenye payroll tayari kupokea Mshahara, kwenye picha ni MIHADHARA ya kuwaongezea maarifa katika kazi zao.
Check Number mara nyingi hutoka pamoja na Mshahara wa kwanza.
Issue za Uniform zote mtapewa kule kuanzia vest kaki, Viatu, green jungle, ballet, tt na kadharika... Ila kule askari hupunguza nguo kadri ya size zao ila pia kuna ukaguzi, ukizingua unapewa adhabu ya kutosha.
All the best Kwa Vijana Wanaokaribia Kuhitimu....
Kozi wanafunga October ijumaaa ........psssf tayar wamepewa elimu na kuungwa juz watu wa saccos yao waliendMwezi huu uhakika wanamaliza Depo Maana Walianza Kozi Mwezi Wa 12 Tarehe 1, Muda umefika kabisa...
Wakishamaliza Rasmi Mwezi unaofata wanaungwa kwenye payroll tayari kupokea Mshahara, kwenye picha ni MIHADHARA ya kuwaongezea maarifa katika kazi zao.
Check Number mara nyingi hutoka pamoja na Mshahara wa kwanza.
Issue za Uniform zote mtapewa kule kuanzia vest kaki, Viatu, green jungle, ballet, tt na kadharika... Ila kule askari hupunguza nguo kadri ya size zao ila pia kuna ukaguzi, ukizingua unapewa adhabu ya kutosha.
All the best Kwa Vijana Wanaokaribia Kuhitimu....