Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kozi wanafunga October ijumaaa itakuwaYaa lonja ni mwez wa 9, kipindi iko walio kozi wataenda poli
Kwn wakuu kufunga kozi n tofauti na kumaliza kozi? Mana nasikia wanafunga kozi wanaenda pori hapo ndo sijaelewa Kwnn wafunge kozi na waende tena poriKozi wanafunga October ijumaaa itakuwa
Kufunga kozi kuna husisha maandalizi ya gwaride pamoja na medani za Kivita ambapo Askari Wapya hupata kiapo cha utii mbele ya IGP, Kamishina wa operesheni na Mafunzo pamoja na wageni wengine mbalimbali....Kwn wakuu kufunga kozi n tofauti na kumaliza kozi? Mana nasikia wanafunga kozi wanaenda pori hapo ndo sijaelewa Kwnn wafunge kozi na waende tena pori
Vp Moshi kunakua na mitihan ya darasani?kama ukifeli inakuajeKufunga kozi kuna husisha maandalizi ya gwaride pamoja na medani za Kivita ambapo Askari Wapya hupata kiapo cha utii mbele ya IGP, Kamishina wa operesheni na Mafunzo pamoja na wageni wengine mbalimbali....
Inategemea sherehe hizi kufanyika kwa gwaride likawa TPS au porini na mara nyingi Sherehe za Medani za Kivita huwa porini siku moja kabla ya Gwaride La Mgeni Rasmi...
Kwa hiyo kufunga kozi ndo mwisho wa kumaliza kozi tayari kuelekea kwenye majukumu rasmi ya Ki askari
Yeah ipo... Semister 3 NzitoVp Moshi kunakua na mitihan ya darasani?kama ukifeli inakuaje
Unataka kuniambia PDF ni mwezi huu?Muda si mrefu PDF inamwagika
Mkuu ni udhalilishaji huku kambini
wapp kimya badoUpande wa pili Jw kukoje?
Maelekezo yako tu maana wanaenda hadi watu hawajapita jkt kabisa.ivi wakuuu jwtz kutoboa nirahic kwasis wa mujibu au tuendelee kusubiri embe chini ya mnazi😀😀😀
Asante Mkuu...Salute kwenu wakuu. Nimepitia huu uzi mwanzo mwisho na nimejifunza mambo mengi sana. Kwa kipekee napenda niwape mauwa yenu wafuatao:
Mercenary2013
IDDY S MHANDO
lugonopanja98
OCCID Dominik
Na wengine wote waliotoa michango yao mema. Kwa wasomaji wapya muwe makini tu maana humu ndani kuna wajuaji wengi balaa, jua namna ya kuchambua mambo usiende nayo yote. Asante
Hongera kwa kufanya maamuzi magumuNikikumbuka wakati naomba kazi Polisi tulikuwa tunalazimishwa,hata mimi ni kama nililazimishwa tu kwenda Depo,ndio maana hata kuacha kazi niliacha ndani ya masaa 24