victor mwanjela
Member
- Aug 7, 2024
- 34
- 54
kwa jinsi ambavyo naona mda umepita tokea wa kwanza waingie mwezi wa 9 i assume second selection tayari..kwan course ua ni miezi mingapi leo ni mwezi wa 5 tokea wanaanze cah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa jinsi ambavyo naona mda umepita tokea wa kwanza waingie mwezi wa 9 i assume second selection tayari..kwan course ua ni miezi mingapi leo ni mwezi wa 5 tokea wanaanze cah
Kwakwa jinsi ambavyo naona mda umepita tokea wa kwanza waingie mwezi wa 9 assume second selection tayari..kwanasa course ua ni miezi mingapi leo ni mwezi wa 5 tokea wanaanze course
Ni minne kaka mbaka sasa mana walienda mwezi wakumi ivi degree walifika ata miatanao?kwa jinsi ambavyo naona mda umepita tokea wa kwanza waingie mwezi wa 9 i assume second selection tayari..kwan course ua ni miezi mingapi leo ni mwezi wa 5 tokea wanaanze course
Tangazo mwezi huu ?Wakuu kwa mwaka ajira Za CCP zinatoka mara ngapi? Nimepata mbuyu umeniambia nisubiri tangazo uhakika
Ikitokea third selection ni baati sana aisee Tuombe mungu mana wale walienda kitambo sana nimiezi minne imepita sasakwa jinsi ambavyo naona mda umepita tokea wa kwanza waingie mwezi wa 9 i assume second selection tayari..kwan course ua ni miezi mingapi leo ni mwezi wa 5 tokea wanaanze course
kabisaIkitokea third selection ni baati sana aisee Tuombe mungu mana wale walienda kitambo sana nimiezi minne imepita sasa
Tanzania Forest Service, Maliasili Jeshi UsuJeshi la wananchi au ?
Ngoja tusubili tuona ndugu mungu nimwemaHivi pccb mwaka huu wata toa ajira?
Lini mkuukuna nafasi zimetangazwa zima moto
Zile nafasi acha nisiongee nizidi kupiga Duakuna nafasi zimetangazwa zimamoto
JanaLini mkuu
Hivi pccb mwaka huu watatoa ajira?