Natumaini muwazima wa afya, nimeandika uzi huu kwa dhumuni la kuwapa motisha vijana na mimi mwenyewe pia kwani katika maisha aya sasa vijana wengi wameamka wakiwa na ndoto kubwa, marengo makubwa, wengine wakitaka kumiliki kampuni zao katika umri mdogo, wengine kuwa mamillionaire katika umri mdogo minapenda kuita (MILLIONAIRE BEFORE 25) hayo yote yanawezekana
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kupokea mawazo mtambuka na yaliyoshiba mawazo kuntu kutoka katika kwa ma Great thinker umu jamvini hivyo toa mawazo ukiwa free kabisa kwa dhumuni langu ni uzi huu uwe kama kitabu cha vijana ambao wana mawazo mkubwa ya makampuni na utajiri mkubwa
NB: jiachie vilivyo kwenye kutoka hoja nawasilisha
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kupokea mawazo mtambuka na yaliyoshiba mawazo kuntu kutoka katika kwa ma Great thinker umu jamvini hivyo toa mawazo ukiwa free kabisa kwa dhumuni langu ni uzi huu uwe kama kitabu cha vijana ambao wana mawazo mkubwa ya makampuni na utajiri mkubwa
NB: jiachie vilivyo kwenye kutoka hoja nawasilisha