Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Habari wakuu , watumishi tulioajiriwa huwa tunatamani sana kujishughulisha ili mradi kipato kiongezeke lakini kwa ujumla huwa tunaface Changamoto zifuatazo zinazopelekea kushindwa :-
1. Tuna muda mchache wa kusimamia
2. Watu wengi sio waaminifu tunao waweka kwenye shughuli hizo
3. Tunaogopa sana ku take risk
Hivyo naomba tushare uzoefu mbali mbali
Binafsi nimewahi fanya bishara ya Vi body / vi blauzi vya kike nanunua 3000 Mwanza au Katoro nakuja kuviuza 7000 mpaka 12000.
Hii kwangu ilikuwa rahisi sababu nlikuwa najua nimechukua 200 au 300 hivyo nitegemee kiasi fulani na ninashukuru Mungu vilikuwa vinatoka mpaka nilipo badili mazingira .
Je, shughuli zipi nyingine ni rahisi?
1. Tuna muda mchache wa kusimamia
2. Watu wengi sio waaminifu tunao waweka kwenye shughuli hizo
3. Tunaogopa sana ku take risk
Hivyo naomba tushare uzoefu mbali mbali
Binafsi nimewahi fanya bishara ya Vi body / vi blauzi vya kike nanunua 3000 Mwanza au Katoro nakuja kuviuza 7000 mpaka 12000.
Hii kwangu ilikuwa rahisi sababu nlikuwa najua nimechukua 200 au 300 hivyo nitegemee kiasi fulani na ninashukuru Mungu vilikuwa vinatoka mpaka nilipo badili mazingira .
Je, shughuli zipi nyingine ni rahisi?