Tupeane uzoefu jaman maana hii Brevis imenigusa

Tupeane uzoefu jaman maana hii Brevis imenigusa

Rpm ni Kifupisho cha Revolutions per minute of crankshaft yaani ni ule mzunguko wa crankshaft ndani ya sekunde 60
 
Kuna baadhi ya aina za engine za magari huwa zinasumbua ndio sababu baadhi ya magari yanasemekana kutokudumu, maelezo ya mdau moddybrown ni sahihi
 
Chukua tu! mkuu brevis ziko vizuri, kuhusu kuzima sio tatizo, ukiona imezima ujue gari inatatizo but kama home kwako ni rough road la kokoto haitakufaa kwa gari hizi mayai, injini yake iankula mafuta vizuri ki wastani gari ya petrol ndogo inatakiwa ile mafuta litre 1 wastani km 16.
Brevis km 16 kwa lita haifiki,ni 12 -13km na kwakuwa ni D4 bado ni nzuri sana,mimi nilikuwa na gari cc2500 vvti watu walinitisha inakula mafuta nikagundua ni uzushi tu ilikuwa inakwenda mpaka km 14 kwa lita,mimi nakushauri hiyo gari chukua ni nzuri sana hasa ndani,tamu sana.
 
Brevis imetengenezwa kwa engine mbili tu, Ai 2500 na Ai3000 na. Brevis ni neno la kilatin ambalo kwa kiingereza lina maana ya short/brief. Hivyo ni kweli ni toleo la muda mfupi, lakini si kwetu sisi sababu unaweza kuta mtu leo hii anatumia Cresta, Mark II, Verossa ambazo zote pia ni discontinued brand, na muendelezo wa Mark II ni Mark Ten ambayo wengi wamezoea kuita Mark X, na hii engine ya Ai 2500 (D4 Vvti 2500) ambayo ni muendelezo wa engine 2000Beams aliyokuwa inatumika kwenye Cresta, Mark II GX 100,Mark II GX 110,Verossa na hata Altezza.
Ndio kusema D4 Vvti ni another generation of 2000 Beams.
 
Wengi wetu hatuna umakini kwenye kuanzia hatua ya kwa i.e asubuhi unapowasha gari unapaswa usikanyage mafuta bali unapaswa kuwasha na kuacha kama dakika 10 hivi engine ipate moto yenyewe kisha unapotoka huna haja kutoka na mabio yasiyo na umuhimu kujenga heshima na kile chombo chako, na pia huna haja ya kufanya mashindano na mtu barabarani hii yote itapelekea kukosa nidhamu na chombo chako pale unapojaribu kushindana nae, ila kuna mazingira yanaweza kukufanya ukakosa nidhamu ni kwa muda mfupi na pia si mara kwa mara.
 
Wengi wetu hatuna umakini kwenye kuanzia hatua ya kwa i.e asubuhi unapowasha gari unapaswa usikanyage mafuta bali unapaswa kuwasha na kuacha kama dakika 10 hivi engine ipate moto yenyewe kisha unapotoka huna haja kutoka na mabio yasiyo na umuhimu kujenga heshima na kile chombo chako, na pia huna haja ya kufanya mashindano na mtu barabarani hii yote itapelekea kukosa nidhamu na chombo chako pale unapojaribu kushindana nae, ila kuna mazingira yanaweza kukufanya ukakosa nidhamu ni kwa muda mfupi na pia si mara kwa mara.
Kitendo cha asubuhi kuiwasha gari kwa dakika 10 kisha ndo uanze kuendesha, inafaa kwa aina zote za magari?
 
Kitendo cha asubuhi kuiwasha gari kwa dakika 10 kisha ndo uanze kuendesha, inafaa kwa aina zote za magari?
No sio gari zote ni magari flani ya miaka ya nyuma sana yalikuwa na hiyo system,ila gari za miaka ya kuanzia 1990 nyingi ni za kuwasha na kuondoka,mwenye ujuzi na hili atuwekee hapa hii mechanism inafanyaje kazi.Ila ni vizuri kuipa gari nafasi tokea umewasha gari ili oil iweze kuwa imesambaa vizuri then uka takeoff either taratibu au na hiyo mibio yako.
 
Hata ulete gari nzuri kutoka nchi za mbali lakini kama barabara yako ya kwendea home ndio hizi zenye makorogesheni bado ni hasara tu kwani badala ya kulifurahia unaanza kuliwazia makovu ya mashimo inamopita, wakati mwngine kwenye madimbwi yamaji taka, maana ndio njia za kutufikisha huko uchochoroni tunkoiishi zilivyo, ingekuwa vema mtu kuanza na ujenzi wa barabara ya kuendeshea gari lako la milioni 200. Lakini ndio hivyo tena tarmac kumbe sio vifusi vya bunju du bei ingekuwa chee basi ingetumika kuziba mishimo njia mbovu. Ndio uteleze sasa na ladha ya Brevis aisee
 
Hata ulete gari nzuri kutoka nchi za mbali lakini kama barabara yako ya kwendea home ndio hizi zenye makorogesheni bado ni hasara tu kwani badala ya kulifurahia unaanza kuliwazia makovu ya mashimo inamopita, wakati mwngine kwenye madimbwi yamaji taka, maana ndio njia za kutufikisha huko uchochoroni tunkoiishi zilivyo, ingekuwa vema mtu kuanza na ujenzi wa barabara ya kuendeshea gari lako la milioni 200. Lakini ndio hivyo tena tarmac kumbe sio vifusi vya bunju du bei ingekuwa chee basi ingetumika kuziba mishimo njia mbovu. Ndio uteleze sasa na ladha ya Brevis aisee
Je kwa gari kama hii bado ni hasara?
1248923755659.jpeg

2011-Ford-Ranger-Wading-Water-720x340.jpg

fordcrop.jpg
 

Attachments

  • 2011-Ford-Ranger-Wading-Water-720x340.jpg
    2011-Ford-Ranger-Wading-Water-720x340.jpg
    31.6 KB · Views: 103
utakua umenunua gari hv karibuni
Nimecheka sana
halafu bei ya kiwese huku kwetu Bara inachezea 2,000/= @lt
gari km pump nzuri ni kuiwasha tu bila ya kuchochea mafuta na ikikubali ndani ya dk moja unaondoka mdogomdogo, hiyo RPM ndani ya sekunde 60 kila kitu kimechanganya.
Labda km gari uliiacha likizo mwezi akawa na ingine au hukuitumia
 
Back
Top Bottom