Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Sidhani kama casino za bongo zina hizo mamboMi nauliza tu, hivi ukienda casino ndio wanapatikana wale strippers kama wa kwenye movies???
Ngoja wazoefu waje watupe uzoefu wao...Sidhani kama casino za bongo zina hizo mambo
Basi wamenikosa.Sidhani kama casino za bongo zina hizo mambo
Mambo gani yalikuwa yanafanyika mkuu??..funguka kidogoPale Princes Casino IT Plaza,palikua pa moto sana,kabla serikali haijapiga marufuku baadhi ya mambo kutokana na tamaduni zetu
Enzi hizo pale safari casino walikuwepo.Sidhani kama casino za bongo zina hizo mambo
Mengi alikua ana cheza kasinoHivi unajua kwamba kupenda Casino ni ulevi kama ulevi mwingine?? Unaweza uza mali zako nyingi sana sababu yakupenda kwenda kucheza Casino...Na ukienda kucheza unaliwa,kuna watu wameuza hadi nyumba zao kwa kupenda kwenda kucheza huo mchezo
Wachina wengi sana wamejinyonga sababu ya Casino,so please achana na huo mchezo,ni sawa na madawa yakulevya...
Nenda Casino kama unapesa zakuchezea tu ila sio sisi wenye pesa za mawazo,Mfano Mzee Mengi alikua anacheza sana Casino na demu wake Madam Ritta, Dr Rick pia,sio wewe na mimi,utauza hadi assets zako,keep out of rich children na Casino mkuu
Una nafasi bado😀😀...njoo huku jijini twendeCasino ni moja kati ya vitu vyenye vilinipita kushota kabisa, na sijawahi hata kujuwa milango yake inafanana aje...
Kama ya wazungu yanakuja bongo kufanya nn....au nan kasema ni ya matajiri tu...Mambo ya wazungu mnaleta bongo unafanya kazi unalipwa mil 1 unataka kwenda casino? fanyeni mambo ya msingi kasino ni ya mamilionea ambao ata kama anacheza uku biashara zake anaingiza pesa.
Mengi alikua ana cheza kasino