Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
We Unique Flower wewe...!!! Nani kakuropokea matusi?Ndio nyie wanaume wahumu Kwa maana hamjulikani sura mnakuwa mnaropoka matusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Unique Flower wewe...!!! Nani kakuropokea matusi?Ndio nyie wanaume wahumu Kwa maana hamjulikani sura mnakuwa mnaropoka matusi
Wengii tu hadi mtu anadiriki nimeshaungua kweli eti mi Malaya nimechakaa hayoo yote yanini ??We Unique Flower wewe...!!! Nani kakuropokea matusi?
Kona zote hizo kumbe walengwa ni sisi wanaume aiseee [emoji848]Watu wanachukiana sana Kosa hakuna nimesoma Uzi mbali mbali nikajawa na hasira tu wanaume wanadharau sana wanawake wanachuki nao Wana kera nikila uzii hii sio nzuri
Exactly bro.Unless mna mawasiliano ya namba za simu au uko DM, unless otherwise this is just an illusion
Nothing serious here...
Hapana mkuu ila nayapenda tuNilivyokuwa nasoma shule za masister wewe ni muarc eh?
Unique flower mama tafadhali fungua PM ningependa kuianza kampeni ya mapendo.Tupendane wadau wa humu tuache majungu.
Maisha haya ni mafupi tupeane faraja na kushauriana mambo yakujenga sio kubomoa .
Unaweza kuwatag watu Fulani ila ukiwa nashida wao wanakuacha Matani wachache ulio watag ndio wanakusaidia hii sio fresh tusiishi kiunafiki tupendane ,tusaidiane , tusidhihakiane sio fresh .
Mie najambo Moja ni pendo hujenga hujawahi muacha mtu kabisa .
Hizi chuki acheni , msisahau humu ndani watu umri umeenda tujiheshimu na kuwa heshimu wengine ukiona hujafanikisha lengo lako Kaa kimya mbona siye tunakaaga kimya tu tumebeba kifuani mambo Mengi tu tukiamua kufungua magazeti yaliyopita watu watabaki na mshangao .
Basi tusiaibishane tupendane ndio langu neno la Leo
We nae majungu kilasiku, achana na JFTupendane wadau wa humu tuache majungu.
Maisha haya ni mafupi tupeane faraja na kushauriana mambo yakujenga sio kubomoa .
Unaweza kuwatag watu Fulani ila ukiwa nashida wao wanakuacha Matani wachache ulio watag ndio wanakusaidia hii sio fresh tusiishi kiunafiki tupendane ,tusaidiane , tusidhihakiane sio fresh .
Mie najambo Moja ni pendo hujenga hujawahi muacha mtu kabisa .
Hizi chuki acheni , msisahau humu ndani watu umri umeenda tujiheshimu na kuwa heshimu wengine ukiona hujafanikisha lengo lako Kaa kimya mbona siye tunakaaga kimya tu tumebeba kifuani mambo Mengi tu tukiamua kufungua magazeti yaliyopita watu watabaki na mshangao .
Basi tusiaibishane tupendane ndio langu neno la Leo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengii tu hadi mtu anadiriki nimeshaungua kweli eti mi Malaya nimechakaa hayoo yote yanini ??
Mtu humjui