Tupendane humu tuache majungu

Tupendane humu tuache majungu

Nimesoma comment zako mtoa mada,,una-blame wanaume tunawadharau wanawake wa humu especially wewe,, sasa kwanini usijitafakari wewe kama wewe kwanini most of men humu wanakudharau? Sina muda humu tangu nijiunge ila binafsi kuna wanawake nimesha-wasoma ni design ya watu gani depending na wanavyo-participate mijadala mbalimbali...so inabidi ujifanyie research wewe mwenyewe,, why you??? Then change uone kama bado kutakuwa na mwanaume atakayekuwa na perception hasi juu yako.
 
Tupendane wadau wa humu tuache majungu.

Maisha haya ni mafupi tupeane faraja na kushauriana mambo yakujenga sio kubomoa .

Unaweza kuwatag watu Fulani ila ukiwa nashida wao wanakuacha Matani wachache ulio watag ndio wanakusaidia hii sio fresh tusiishi kiunafiki tupendane ,tusaidiane , tusidhihakiane sio fresh .

Mie najambo Moja ni pendo hujenga hujawahi muacha mtu kabisa .

Hizi chuki acheni , msisahau humu ndani watu umri umeenda tujiheshimu na kuwa heshimu wengine ukiona hujafanikisha lengo lako Kaa kimya mbona siye tunakaaga kimya tu tumebeba kifuani mambo Mengi tu tukiamua kufungua magazeti yaliyopita watu watabaki na mshangao .


Basi tusiaibishane tupendane ndio langu neno la Leo
Unique flower mama tafadhali fungua PM ningependa kuianza kampeni ya mapendo.
 
Tupendane wadau wa humu tuache majungu.

Maisha haya ni mafupi tupeane faraja na kushauriana mambo yakujenga sio kubomoa .

Unaweza kuwatag watu Fulani ila ukiwa nashida wao wanakuacha Matani wachache ulio watag ndio wanakusaidia hii sio fresh tusiishi kiunafiki tupendane ,tusaidiane , tusidhihakiane sio fresh .

Mie najambo Moja ni pendo hujenga hujawahi muacha mtu kabisa .

Hizi chuki acheni , msisahau humu ndani watu umri umeenda tujiheshimu na kuwa heshimu wengine ukiona hujafanikisha lengo lako Kaa kimya mbona siye tunakaaga kimya tu tumebeba kifuani mambo Mengi tu tukiamua kufungua magazeti yaliyopita watu watabaki na mshangao .


Basi tusiaibishane tupendane ndio langu neno la Leo
We nae majungu kilasiku, achana na JF
 
Back
Top Bottom