nimsikie wapi mkuu?? ndo kwanza namwona kwako
december nagombea umiss chit chat hapa naanza maandalizi campaign managers wa Ladycoctor na shansarie ninawabook kabisa munifanyie kampeni
cc Madame B ladydoctor Madame B Mamndenyi kiwatengu Mzee figganigga @24 hrs e.t.c e.t.c
shemeji Madame B kaka yako asakuta same anakwita nyumbani nimetoka sasa hv khaa kumedoda yaani kuko kimyaaa kama makaburini nenda nenda bhana
shemeji Madame B kaka yako asakuta same anakwita nyumbani nimetoka sasa hv khaa kumedoda yaani kuko kimyaaa kama makaburini nenda nenda bhana
My wii kaa ulee kizaygote chetu...hum ndani hali ya hewa ilikuwa si swalama,na hali yako ingekuwa hatare
mushkheri mambo ya miss chit chat yalileta majambo hum
kiwatengu aise nakudai ujue achana na habari ya kuomba msamaha huku
Ahadi yako hujatimiza
tatizo mwogaMwambie aache kuchungulia watu wazima wakifanya mambo yao ajitokeze hadharani aseme kweli bana
hivi Lady doctor unajua naniliuu hadi sasa simuoni? au Arushaone kamteka? natoa masaa2 apatikane.
basi hiyo mimba itakuwa kiboko...he need a dume may be
namkubali sana kwenye ''my drink and my two step''jaribu kumgoogle. ni mwanamziki wa marekani huyo. mi napenda ule wimbo wake wa getting no better nadhani alimshirikisha sasha. mia