Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
najua basi..labda we shemeji mtu ataweza kukwambiaa
Kuna member upande wenu alinitolea kauli ambayo sikuipenda.
Nitamchukia daima.
mie poa na hakuna matata kabisaaaa.leo naamka nakuta vitu vyote deleted.....
my wii ni bora wamedelete maana katika zile thread zote kulikuwa na kauli za kukwazana hata mimi sikupenda kabisa na ndio maana kuna uzi mmoja ulinihusu sikuuchangia kabisa nilikuwa naomba mudawowote ma mods waufute.
Shukrani kwa Moderator aliyefanya hiyo kazi naona amani itarudi sasa......!
rudisha moyo shemeji mungu anataka tusameheane sio siri upande wao ulikuwa na watu wenye chuki na dhalii lakini uchaguzi umeisha tusameheane shemeji mie uchungu na hasira yangu yote nimeuyeyusha kwa barafu akhaaa kiroho safi rudisha moyo shemeji yangu mpenzi ,,,,,mwaaaaah,,,,pokea kisss langu,,,,hug,,,,na hivi na vile
my wii............na mie pia nimeshangaaje? kwani kulikuwa na gani humu?
:amen: mkuuAmen!! maneno mazuri sana haya.!
ubarikiwe sana!
:amen:ubarikiwe kwa busara zako murua..
my dear, hata mi kuna watu nili wa mind ila baadae nikapotezea, naomba usichukulie hasira kiivyo tuwasamehe bure!!!!!!!
Best..
sasa ni tusonge mbele urafiki wetu uzidi kukua! ukue kabisa hata uzidi ule wa mwanzo!!
​we si uminirijekti??