Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
najua basi..labda we shemeji mtu ataweza kukwambiaa
my wii ni bora wamedelete maana katika zile thread zote kulikuwa na kauli za kukwazana hata mimi sikupenda kabisa na ndio maana kuna uzi mmoja ulinihusu sikuuchangia kabisa nilikuwa naomba mudawowote ma mods waufute.
Shukrani kwa Moderator aliyefanya hiyo kazi naona amani itarudi sasa......!
Last edited by a moderator: