Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....

Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....

Asante Mzee.
Nimeona mahali umeamkiwa....
Ni kweli, ukiudhiwa A jua B utacheka.


Mawazo yakifanana basi hakuna hata mmoja uliyewaza kati yenu.

Huu utofauti ndio unaoleta ladha ya maisha.

Madame B
 
Last edited by a moderator:
Poa kiwatengu ndivyo maisha yanavyotakiwa yawe.

Hata mimi nasema kuwa sina tatizo na Mzee, 24hrs :Kuhusu Arushaone kwa kuwa anajua matatizo yangu
tokea zamani naamini pia hana neno na mimi.

Hata wale wachache tuliojibizana kwa haraka haraka
nasema samahani saaaana;

Mama! amani ni kitu kikubwa sana..
Tuwe wamoja sasa!!
 
Last edited by a moderator:
Poa kiwatengu ndivyo maisha yanavyotakiwa yawe.

Hata mimi nasema kuwa sina tatizo na Mzee, 24hrs :Kuhusu Arushaone kwa kuwa anajua matatizo yangu
tokea zamani naamini pia hana neno na mimi.

Hata wale wachache tuliojibizana kwa haraka haraka
nasema samahani saaaana;

Hata mie ulinikwaza!
Hebu tutafute chaka lolote , ama nyumba inayoendelea kujengwa tukakae tuambizane tunasameheanaje!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom