Mtanzania2020
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 817
- 1,752
Inasikitisha wastaafu kutoa kauli kama hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtwara wamevurugwa. Nizaidi ya wadudu wa chugaInasikitisha wastaafu kutoa kauli kama hizi
View attachment 2978192
Ukimeza nchale ukitema nchale. Imewakuta watumishi hiyo"Ntwara hoyeeeeeh, ukisimama nchali ukichuchuma nchali."
Ujumbe murua, ila, waliobeba bango hili si wastaafu.Inasikitisha wastaafu kutoa kauli kama hizi
View attachment 2978192
Mimi tangia kipindi kile nafuatilia Hela za Nssf ndo nilikuja kuona ni dhuluma na upuuzi sana! Pesa yako lakini kuna masharti kibao ya kuzitoa.Inahuzunisha sana! Mtu unafanya kazi kwa nguvu zote unachelewa kulala unawahi kuamka halafu mwisho wa siku mafao yako utumie tena nguvu kuyaomba
Viongozi wanasababisha laana kwenye vizazi vyao.
Jasho la mtu haliendi bure..!
Inaitwa tusipangiane maishaInasikitisha wastaafu kutoa kauli kama hizi
View attachment 2978192
Ngome ya chama imekuwaje tenaInasikitisha wastaafu kutoa kauli kama hizi
View attachment 2978192
Hata kikibadilika ambao wamesha staafu sidhani kama kitawahusu.Ujumbe murua, ila, waliobeba bango hili si wastaafu.
Ukilala nchale, ukiamka nchale, kazi kweli kweli 🤒😎Ukimeza nchale ukitema nchale. Imewakuta watumishi hiyo
Kuna uzi nimeona mtu anaejiita Lucas Mwashambwa anakutafuta.Inahuzunisha sana! Mtu unafanya kazi kwa nguvu zote unachelewa kulala unawahi kuamka halafu mwisho wa siku mafao yako utumie tena nguvu kuyaomba
Viongozi wanasababisha laana kwenye vizazi vyao.
Jasho la mtu haliendi bure..!
Nimeshamalizana nae mkuuKuna uzi nimeona mtu anaejiita Lucas Mwashambwa anakutafuta.
Kumbe umewaona wale wadudu,mi nimeguswa na yule wa mataili ya boda boda ila yamemtosha miguuni,Mtwara wamevurugwa. Nizaidi ya wadudu wa chuga
ccm + wizi ni sawa tu na pete na kidoleInasikitisha wastaafu kutoa kauli kama hizi
View attachment 2978192
Nimeangalia maandamano,hili bango sijaliona,nimekerwa sana na kwaya ya watumishi wa ummaInasikitisha wastaafu kutoa kauli kama hizi
View attachment 2978192
😄Tulieni pesa zenu tunazitumia kununua V8 na kuwatunza wake wa viongozi wenu wastaafu pamoja na kulipa wabunge