figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #21
Ukishakuwa maarufu lazima ukubali skendo...
sio kila siku watasifu lazima watapiga dongo...
Kuna Wengine hawapitishi hata wiki wamefanya jambo...
Na wengine wakiona hawaskiki watajifanya wana skendo...
Chomba ni yuleyule umaarufu haujanibadilisha...
Kipara hakuna nywele style ya kiduku itapita...
Am so Famous...
Mkuu mi nataka nireport abuse. Hilo neno la Kiitaliano umelitumia kwa bahati mbaya ama ulidhamiria?!
Please report kwa kweli..that wasnt necessary and it was uncalled for!!au ndo kuonesha uwezo??
Mbona hilo neno wanaliweka hewani kwenye wimbo wa GWM-Kamua yule D-chief kachana Fanculo Dialo madona aungurumapo simba mcheza nani? Mmetaka noma tunaleta noma kinomanoma! Neno la kawaida tu hilo.
fid q,figganigga, nyoshi sio maarufu? mia
Hapo maarufu ni Figganigga tu...laki
Mbona hilo neno wanaliweka hewani kwenye wimbo wa GWM-Kamua yule D-chief kachana Fanculo Dialo madona aungurumapo simba mcheza nani? Mmetaka noma tunaleta noma kinomanoma! Neno la kawaida tu hilo.
Hapa umenena vyema, kwa ukweli wa mwenyezi Mungu hata huyu kijana anaitwa Sajuki mimi jina lake ndio nimelifahamu hapa JF baada ya thread za kumuombea michango akatibiwe India, kwahiyo watu wasidhani kusema habari za watu fulani ni kwamba na wewe upo kwenye ujinga huo.Hivyo vitu vyooote nilivyokutajia vimo humuhumu.
Tuliza kiuno chini utaona tu habari zao.
Muuza Sura hapa ingekuwa ni habari ya Jay Moe ningechangia usiku na mchana.
Huyu Dogo nakuhakikishia ni Big G, hawa ndio wale wasanii ambao ili wabaki juu ni lazima wazushe skendo.
Huyu Dogo anajizushia skendo ili Miuza Sura na wenzio mpate cha kumfuatilia.
Tazama alivyowaburuza kama watoto wadogo kuanzia kwa skendo ya kumvalisha pete huyo ushuzi mwenzie, kisha akawaokota kuwa wameachana, mara wakarudiana, mara sijui wameonekana Hotel gani, mara sijui wameachana, mara Jockate akaingilia, mara Diamond akakataa kupokea Hela ya wema aliyotunzwa, mara sijui Diamond katua na Helcopter, mara Mama Wema kawachamba maadui wa Mwanawe kwenye TV, mara Wema anadai yeye ndie alikuwa wa Kanumba, mara sijui Wema anapambana na Wolper, Wema mara kanunua Nyumba ya Gharama, mara Diamond agombana na Baba yake, Mara Diamond anaumwa sijui kichocho, mara Wema atangaza kwenda BBA nxt Year...
na wanateka magazeti ya Marangi rangi ili mradi tu habari zao ziwe zinatolewa kwenye magazeti yenu hayo yaliyojaa matangazo ya waganga.
Fanculo
Mpaka mtakaponitumbukiza kwenye Nyumba ya Milele sintawakubali wasanii Wema Sepetu na Diamond.
figganigga , hizo mia lini zitakua elfu?
Hili Taifa sijui sasa linaekea wapi? maana hawa Bongo movie + Ubongo wa Fleva sasa naonekana wanataka kulisilimisha Taifa ili kila mtu awe mpenziwa vitu vya kipuuzi puuzi, kuna thread humu nimeuliza Mkasi hasa ndio kipindi gani zaidi ya kuona mtu akinawishwa miguu na kungwaliwa kucha?
Mkuu simiyu umeondoka lini?Hili Taifa sijui sasa linaekea wapi? maana hawa Bongo movie + Ubongo wa Fleva sasa naonekana wanataka kulisilimisha Taifa ili kila mtu awe mpenziwa vitu vya kipuuzi puuzi, kuna thread humu nimeuliza Mkasi hasa ndio kipindi gani zaidi ya kuona mtu akinawishwa miguu na kungwaliwa kucha?