Tupeni ufundi jameni Aya madude Yana tia aibu huku mtaani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tupeni ufundi jameni Aya madude Yana tia aibu huku mtaani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mmenikumbusha mbali enzi za heka heka za ujana nikaenda kwa x wangu nikakuta amenunua ricecooker sasa dada wa watu nilikuwa sijawahi hata kuiona. bwana yule akawa sebuleni kwake yuko bize na mambo yake nimewasha jiko la gesi nimepika mboga tena zaidi ya moja zimeiva lakini mchele hupo kwenye rice cooker unaniangalia kila nikifunua naona hupo vile no kuchemka no kufanya chochote. nami naona aibu kumwambia jamaa kama hii kitu sijui kuitumia naenda namchungulia narudi jikoni sijui cha kufanya mpaka nilipopata akili ya kumpigia videocall shoga yangu mmoja ndo nikatoboa sitokaa nisahau๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›
 
Mbona kama nyumba ya majani....๐Ÿค”
Huku kijijini hatunjengi hivyo mazee...๐Ÿ˜ถ
 
Mmenikumbusha mbali enzi za heka heka za ujana nikaenda kwa x wangu nikakuta amenunua ricecooker sasa dada wa watu nilikuwa sijawahi hata kuiona. bwana yule akawa sebuleni kwake yuko bize na mambo yake nimewasha jiko la gesi nimepika mboga tena zaidi ya moja zimeiva lakini mchele hupo kwenye rice cooker unaniangalia kila nikifunua naona hupo vile no kuchemka no kufanya chochote. nami naona aibu kumwambia jamaa kama hii kitu sijui kuitumia naenda namchungulia narudi jikoni sijui cha kufanya mpaka nilipopata akili ya kumpigia videocall shoga yangu mmoja ndo nikatoboa sitokaa nisahau๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Mmenikumbusha mbali enzi za heka heka za ujana nikaenda kwa x wangu nikakuta amenunua ricecooker sasa dada wa watu nilikuwa sijawahi hata kuiona. bwana yule akawa sebuleni kwake yuko bize na mambo yake nimewasha jiko la gesi nimepika mboga tena zaidi ya moja zimeiva lakini mchele hupo kwenye rice cooker unaniangalia kila nikifunua naona hupo vile no kuchemka no kufanya chochote. nami naona aibu kumwambia jamaa kama hii kitu sijui kuitumia naenda namchungulia narudi jikoni sijui cha kufanya mpaka nilipopata akili ya kumpigia videocall shoga yangu mmoja ndo nikatoboa sitokaa nisahau๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›
Sasa unamuonea haya mchumba..? Utakuja kufeli siku moja no video call wala onaona call..๐Ÿ˜
 
Lazima Mpishi Aliweka Picture Ya Nabii Ndani Ya Rice Cooker Ndiyo Maana Beche Lipo Full
 
Kuna siku mchana kulikua na jua Kali hatar, tukashangaa ghafla Kama mvua ya mawe, natoka nje kucheki mvua kubwa ya maharage inanyesha

Wakati bado hatujajua inakotokea ukatua mfuniko wa pressure cooker ktkt ya uwanja, na michuzi ya kutosha

Kabla hatujageukiana na Maza kwa mshangao mtu akagonga hodi, kijana mmoja akasema samahani nimekuja kuchukua mfuniko wangu,

Kaja na fagio, akafagia amebeba na mfuniko, alipoondoka jmn tulilupuka kwa kicheko tukiwa ndani,

Lilikua kundi la wakaka wa geto kwa jirani walikua wanachemsha maharage wakafungua mfuniko kucheki Kama yameiva bila kuepua, gesi yote na mvuke ukainyanyua sufuria ikapaa na maharage yakavuka fensi kuja kwetu
Hatari Sana๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom