Dadakidoti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2024
- 399
- 1,409
πππMmenikumbusha mbali enzi za heka heka za ujana nikaenda kwa x wangu nikakuta amenunua ricecooker sasa dada wa watu nilikuwa sijawahi hata kuiona. bwana yule akawa sebuleni kwake yuko bize na mambo yake nimewasha jiko la gesi nimepika mboga tena zaidi ya moja zimeiva lakini mchele hupo kwenye rice cooker unaniangalia kila nikifunua naona hupo vile no kuchemka no kufanya chochote. nami naona aibu kumwambia jamaa kama hii kitu sijui kuitumia naenda namchungulia narudi jikoni sijui cha kufanya mpaka nilipopata akili ya kumpigia videocall shoga yangu mmoja ndo nikatoboa sitokaa nisahauππ
Sasa unamuonea haya mchumba..? Utakuja kufeli siku moja no video call wala onaona call..πMmenikumbusha mbali enzi za heka heka za ujana nikaenda kwa x wangu nikakuta amenunua ricecooker sasa dada wa watu nilikuwa sijawahi hata kuiona. bwana yule akawa sebuleni kwake yuko bize na mambo yake nimewasha jiko la gesi nimepika mboga tena zaidi ya moja zimeiva lakini mchele hupo kwenye rice cooker unaniangalia kila nikifunua naona hupo vile no kuchemka no kufanya chochote. nami naona aibu kumwambia jamaa kama hii kitu sijui kuitumia naenda namchungulia narudi jikoni sijui cha kufanya mpaka nilipopata akili ya kumpigia videocall shoga yangu mmoja ndo nikatoboa sitokaa nisahauππ
Mimi aibu kama hizi sizitaki kwakweliπ πACha uvivuππ
Wabongo bana mpo mpo tu kazi kuning'iniza kaynday vijiweni vya umbea hapo ndo watu wangechangamka na kuvumbua ugali cooker.Tupeni ufundi jameni Aya madude Yana tia aibu huku mtaaniππ
View attachment 3095093
πππMimi aibu kama hizi sizitaki kwakweliπ π
abahahah kwamba language barrier auπ π πUser manual ziongezewe version ya kiswahili. π
Acha tu dada! πabahahah kwamba language barrier auπ π π
Hatari SanaπKuna siku mchana kulikua na jua Kali hatar, tukashangaa ghafla Kama mvua ya mawe, natoka nje kucheki mvua kubwa ya maharage inanyesha
Wakati bado hatujajua inakotokea ukatua mfuniko wa pressure cooker ktkt ya uwanja, na michuzi ya kutosha
Kabla hatujageukiana na Maza kwa mshangao mtu akagonga hodi, kijana mmoja akasema samahani nimekuja kuchukua mfuniko wangu,
Kaja na fagio, akafagia amebeba na mfuniko, alipoondoka jmn tulilupuka kwa kicheko tukiwa ndani,
Lilikua kundi la wakaka wa geto kwa jirani walikua wanachemsha maharage wakafungua mfuniko kucheki Kama yameiva bila kuepua, gesi yote na mvuke ukainyanyua sufuria ikapaa na maharage yakavuka fensi kuja kwetu
Acha Mkuu ππHatari Sanaπ