MucuteeeeWooow. Sooo lovely my. Mwah.
[emoji105] [emoji105] [emoji105][emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Naaam..... Brother.
hahaha avatar zake huwa zinafurahisha ila kidogo huyu mzuri.
Duhhh....[emoji15] [emoji15]Kaipigie nyeto sasa kabla wengine hawajawahii..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii ID ninayo itumia sio yakwangu mkuu, hii ni ID ya mwenza wangu "wa ubavu" na sijawahi kumuuliza sababu ya kuamua kutumia jina hili.
Mimi ninayo ID yangu mkuu, tena niya longtime kitambo. Ila ile ID yangu inayo julikana ni ya hivyo sana....[emoji13] [emoji13] [emoji13]Kwanza kabisa niseme tu kuwa, hii ID ni yako mkuu. When 2 become 1 mnakuwa tayari chako chake na chake chako.
Well, nadhani "wa ubavu" atakuwepo humu mlete hapa atupe behind the scene ya jiwedogo mkuu.
Thanks.
Hahahhaha. Nadhani hii inapendeza zaidi. Lol.
Ya nani hii mkuu.
hahaha avatar zake huwa zinafurahisha ila kidogo huyu mzuri.