Tupia Avatar Unayoiona Inakuvutia, Inakushangaza, Inakuchekesha e.t.c

Hahahhaha, naona bidada anakimbia ze-dudu aseee. Babu humwambii kitu ameshaamsha popo mnara uko juu kabisa. Umenifanya nikumbuke ule wimbo wa Singeli wanasema "Utatoa hutoi". Hahah.


ARMs14
Dah babu balaa! Chuma ki limoto!!!!
 
Hahahhaha, naona bidada anakimbia ze-dudu aseee. Babu humwambii kitu ameshaamsha popo mnara uko juu kabisa. Umenifanya nikumbuke ule wimbo wa Singeli wanasema "Utatoa hutoi". Hahah.


ARMs14
Kuna wadada wasiopenda dudu kweli?
 
Heshima kwenu wapendwa.

Naleta uzi huu kwa ajili ya kutupia Avatar za members waliomo humu ambapo unaweza kusema kama inakushangaza, inakufurahisha, Inakuvutia etc. Kwa kuanza naanza na hii hapa chini. Ni Hatarious aisee. Hahah.



[emoji2]
Mimi nakiigopa hichi KIDUDU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…