Sijawahi kuelewa mnaipendea nini[emoji134][emoji134]Nimemaliza kuangalia GOT Season 3
Nimesha reply, comment yangu ina maneno machache tu👆.Comments fupi fupi
Kwakweli hata mm aikuipenda mwanzo ila Nilipofika s3 nimeipenda.. nimevutiwa zaidi na Dialogue iliyotumika pia mpangilio wa matukio. Japo stori inachanganya mwanzoni..Sijawahi kuelewa mnaipendea nini[emoji134][emoji134]
Pole sanaNimepigwa kibuti rasmi leo, so jimbo liko wazi.
Karibuni.
Na wengine waige mfano wako..[emoji3]Nimesha reply, comment yangu ina maneno machache tu[emoji115].
Kwahiyo natakiwa nicomment "nimecomment jf"eeh?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Umecomment jf
Pole ya hivi hivi haipunguzi maumivu. Mnahitajika muwe karibu sana na mimi wakati huu. Naweza fanya maamuzi ya ajabu😢Pole sana
Uko nyuma na wakati[emoji23][emoji23]Nimemaliza kuangalia GOT Season 3
Labda MigegedooSijawahi kuelewa mnaipendea nini[emoji134][emoji134]
Daaah!! Mimi ndo sijawahi ona hata episode mojaKwakweli hata mm aikuipenda mwanzo ila Nilipofika s3 nimeipenda.. nimevutiwa zaidi na Dialogue iliyotumika pia mpangilio wa matukio. Japo stori inachanganya mwanzoni..
Hujaenda kudanga leoSijafanya chochote
Siku Natamani Nimuone Huyo mtema kuni mwenyewe anavyofananaLeo nimekiona cha mtema kuni