Tupia clips na picha za mishemishe baada ya Derby Simba vs Yanga

Kwani matanga kawaida ni siku ngapi?
 
Sasa hivi suala kubwa lililopo mbele yetu ni suala la uchaguzi mkuu hivyo suala la Mpira wa Simba na Yanga tunaliweka kando hadi msimu ujao baada ya Uchaguzi
 
Sasa hivi suala kubwa lililopo mbele yetu ni suala la uchaguzi mkuu hivyo suala la Mpira wa Simba na Yanga tunaliweka kando hadi msimu ujao baada ya Uchaguzi
Ukitaka kuzungumzia uchaguzi nenda jukwaa la siasa huku ni.mambo ya 4g hanari ya mjini na jinsi chama na Morison walivyowachachafua
 
Sasa kama kuna corona mlikuwa mnapambana na yanini kuingia fainali,nye kweli utopolo bin utopolo
Hawa jamaa hawaendi popote kwanza bado kuna corona, na hata wakishiriki ni round ya kwanza chali wanarudi kupambana na wakina kagera sugar na yanga
 
Tuombe uzima Mtani na pia nikukumbushe si kila siku inakuwaga jumapili.

Sawa Mtani, afadhali una maneno ya kujifariji mazuri kama hayo, inapunguza msongo wa mawazo.

Morrison mmemsamehe? Nasikia baada ya kupanda mpira, sasa hivi amepanda vichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…