Tupia hapa maneno mazuri ya kumwambia umpendae

Tupia hapa maneno mazuri ya kumwambia umpendae

The25824

Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
20
Reaction score
82
Ohaaaaa,

Kwenye mapenzi kuna vingi vinanogesha ,Mojawapo ni suala la kuambiana maneno matamu.

Huenda yakawa kwa maneno ya kusikika au hata ya kuandikika.

Najua si kila mmoja wetu ni mwepesi wa kutunga na kuyaweka vema maneno matamu yatakayomfurahisha ampendae.

Acha kumuita mume au mke jina la mwanae kila siku utasema attendance ya shuleni.

Siku nyingine tupia vimaneno vilaini vitomuamsha hisia zake mwilini.
Yale yatokupendeza yakopi umtumie wako mwandani.

Haya tufunguke wakuu.

Mimi;

👇👇👇👇

#1
Nashukuru mwandani ,mie kunipenda
Nakiri silioni ,hata moja lilopinda,
Moyoni burudani,kukuona wangu nyonda,
Mipresha pomoni,sihtaji uje enda.
Baki nami wangu honey,Nifurahi Maishani.
 
Nakupenda zaidi ya Messi anavyopenda Ballon d'or, hata ukinitesa kama Manchester united sitakuacha kwakua wewe ndo FA Cup ya moyo wangu, sasa Manchester united wa moyo wangu ntakuacha vipi na ninakumbuka tulimfunga Arsenal 8-2?

Nitese kama Bernard Morison alivyoitesa Yanga ila nitakuvumilia na nitakurudisha tena Moyoni, tunapitia mengi ila nikikuona natabasam zaidi ya shabiki wa mnyama anaekumbuka ushindi wa Simba kumfunga Yanga goli 5-0.

Kwa madini zaidi lipia ada.
 
Ohaaaaa,

Kwenye mapenzi kuna vingi vinanogesha ,Mojawapo ni suala la kuambiana maneno matamu.

Huenda yakawa kwa maneno ya kusikika au hata ya kuandikika.

Najua si kila mmoja wetu ni mwepesi wa kutunga na kuyaweka vema maneno matamu yatakayomfurahisha ampendae.

Acha kumuita mume au mke jina la mwanae kila siku utasema attendance ya shuleni.

Siku nyingine tupia vimaneno vilaini vitomuamsha hisia zake mwilini.
Yale yatokupendeza yakopi umtumie wako mwandani.

Haya tufunguke wakuu.

Mimi;

👇👇👇👇

#1
Nashukuru mwandani ,mie kunipenda
Nakiri silioni ,hata moja lilopinda,
Moyoni burudani,kukuona wangu nyonda,
Mipresha pomoni,sihtaji uje enda.
Baki nami wangu honey,Nifurahi Maishani.
Nina nyege
 
Ohaaaaa,

Kwenye mapenzi kuna vingi vinanogesha ,Mojawapo ni suala la kuambiana maneno matamu.

Huenda yakawa kwa maneno ya kusikika au hata ya kuandikika.

Najua si kila mmoja wetu ni mwepesi wa kutunga na kuyaweka vema maneno matamu yatakayomfurahisha ampendae.

Acha kumuita mume au mke jina la mwanae kila siku utasema attendance ya shuleni.

Siku nyingine tupia vimaneno vilaini vitomuamsha hisia zake mwilini.
Yale yatokupendeza yakopi umtumie wako mwandani.

Haya tufunguke wakuu.

Mimi;

👇👇👇👇

#1
Nashukuru mwandani ,mie kunipenda
Nakiri silioni ,hata moja lilopinda,
Moyoni burudani,kukuona wangu nyonda,
Mipresha pomoni,sihtaji uje enda.
Baki nami wangu honey,Nifurahi Maishani.
Ajihadhari na watekaji wanaoua, kutesa na kuharibu miili ya Watu maana Tanzania ya leo sio salama tena. Unyama umerudi
 
Back
Top Bottom