Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Hadi wivu πNawahi sasa hivi ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi wivu πNawahi sasa hivi ππππ
Ulifanyiwa nn mkuu πππUtulie sasa, usije ukamfanyia kama nilivyofanyiwa
We jamaa unakoelekea sasa ππππππππHadi wivu π
Mkuu, wanawake tuwaamini tu π, yangu ishakula chuma huko PMUlifanyiwa nn mkuu πππ
Nakupenda nusu ya kujinyeaWa kumwambia sasa.
Hadi wivu π
Cheki huyu nae πNakupenda nusu ya kujinyea
Mwambie mwamala haujasoma mda mrefuπ«±π»βπ«²π½π«±π»βπ«²π½Mie wangu huwa namwambia "sweet hujanitumia muda mrefu" huwa anacheka sana. Maana hajui maana ya "kunitumia"
Ashabebwa au?? ππππMkuu, wanawake tuwaamini tu π, yangu ishakula chuma huko PM
Ashabebwa au?? ππππ
ππNakupenda nusu ya kujinyea
Onesha tumuone mkuuNgoja nikuoneshe mwanamke anaenipenda kupita maelezo
Hehehe yy ni wangu mm na mm ni wake yyUtulie sasa, usije ukamfanyia kama nilivyofanyiwa
Daaah mom anakujali mkuu πππππ usije ukajikuta huna figo
Huyo ni a.k.a mzazi, hakuna mwanadamu anayenipenda kama yeyeπDaaah mom anakujali mkuu πππππ usije ukajikuta huna figo
Ukijibu anaichukuaje sasa
Ila mkuu mom ako anakupenda buanaaa ππππ halafu anachati mmmh!! ππHuyo ni a.k.a mzazi, hakuna mwanadamu anayenipenda kama yeyeπ
Hizo msg tunazitengeneza sisi, ni Fake zinatumika kwenye utapeliUkijibu anaichukuaje sasa
Ndo hapo sasa texts za. Mchongo hizoooUkijibu anaichukuaje sasa