kruzostom
JF-Expert Member
- Sep 6, 2024
- 310
- 419
KIvipi Yani?Mie wangu huwa namwambia "sweet hujanitumia muda mrefu" huwa anacheka sana. Maana hajui maana ya "kunitumia"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIvipi Yani?Mie wangu huwa namwambia "sweet hujanitumia muda mrefu" huwa anacheka sana. Maana hajui maana ya "kunitumia"
Mama mkwe hapendi kuchatIla mkuu mom ako anakupenda buanaaa 😂😂😂😂 halafu anachati mmmh!! 😂😂
Hizo nakumbuk nilishawahi kuandika kama 5 nikiwa form oneNdo hapo sasa texts za. Mchongo hizooo
Kazi ipoooo,🤭🤭Baby nikila muhogo nakuona kwenye mzizi
🤣Ndo hapo sasa texts za. Mchongo hizooo
Mmmh yeye ni simu tu 📱, meseji akijibu ni bahati sana aiseeeMama mkwe hapendi kuchat
Kumbe ulianzaga utapeli toka uko shule alaaaHizo nakumbuk nilishawahi kuandika kama 5 nikiwa form one
Mimi alifanya kuniforwadia, itakuw alijua ni kweliMmmh yeye ni simu tu 📱, meseji akijibu ni bahati sana aiseee
Ila wazee bwana, 😂😂😂😂😂Mimi alifanya kuniforwadia, itakuw alijua ni kweli
Ntamtumia picha nijitambulishe naona unachelewaMmmh yeye ni simu tu 📱, meseji akijibu ni bahati sana aiseee
No, mimi sio tapel, ila niliwafanyia hicho kitu watu niliowafahamu kwenye namba ngeni, wakawa wakipiga napokea nakoroma huku nawataja majina yao, nawaambia jioni haifiki hana figo😂Kumbe ulianzaga utapeli toka uko shule alaaa
Hio mom ata kakopa hujaweka lolMimi alifanya kuniforwadia, itakuw alijua ni kweli
😂😂😂😂 jamn una haraka Kuliko upesiNtamtumia picha nijitambulishe naona unachelewa
Sisi wanaume tuna tabia ya kuiba namba yenye kopa, sasa mtu akiiba akijua ni dem kumbe mamaHio mom ata kakopa hujaweka lol
Daaah aiseee hata Mm nilikuwaga napokea texts za hivooo ko kumbe C. E. O ni weweNo, mimi sio tapel, ila niliwafanyia hicho kitu watu niliowafahamu kwenye namba ngeni, wakawa wakipiga napokea nakoroma huku nawataja majina yao, nawaambia jioni haifiki hana figo😂
Na ntajipost kote na macaption konki subiri ulale ukiamka utakuta congratulation za kutosha😂😂😂😂 jamn una haraka Kuliko upesi
No, mimi nilifanya kwa enjoyment zangu mwenyewe 😊, lakini niliwaambia kuwa ni mimi, sasa shida namba ilisambaa nikasema nisije kunyea debe 😂 nikatupa laini chooniDaaah aiseee hata Mm nilikuwaga napokea texts za hivooo ko kumbe C. E. O ni wewe
Duuuh jaman 😎😎Na ntajipost kote na macaption konki subiri ulale ukiamka utakuta congratulation za kutosha
Ukaamua kubadili namba auNo, mimi nilifanya kwa enjoyment zangu mwenyewe 😊, lakini niliwaambia kuwa ni mimi, sasa shida namba ilisambaa nikasema nisije kunyea debe 😂 nikatupa laini chooni
Wewe na wewe ongea usiishie kusema jamani 😂, hutaki atume picha tusione????Duuuh jaman 😎😎