Worynot send tooUsitaje tuma pm now, right??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Worynot send tooUsitaje tuma pm now, right??
Tulia apa mpk tumalize sisi kuflirtKwanza mmeniharibia ratiba, nilitaka niangalie movie kuanzia saa 22:30 mpaka 02:00, Saiv sifui dafu
Uangalie muvi gani mkuuKwanza mmeniharibia ratiba, nilitaka niangalie movie kuanzia saa 22:30 mpaka 02:00, Saiv sifui dafu
TextUangalie muvi gani mkuu
Ndo nini sasa na wewe nae au ndo muvinyo ushakoleaText
Chai tayari hiiNimejaribu kuchek movie nikasinzia... Usingizini nikaota nakimbizwa...
Imebidi nirudi tu
😂😂Ndo nini sasa na wewe nae au ndo muvinyo ushakolea
Me nimechill apa na series moja ya kichina inaitwa dragon saber and heaven sword yaan full action daah aisee 😎😎
Me
Me nimechill apa na series moja ya kichina inaitwa dragon saber and heaven sword yaan full action daah aisee 😎😎
Unajitahidi mkuu mm at least nina C 3 nimeelewaThe angel you want, the angel you will have! & The devil you want, the devil you will have! So take care dear! 😂🤣
Kama hujaelewa na huna D hata Moja ( yaani ulipata 4 Haina ajira ) pitia kwa rasi simba
Huwa unaangalia animation mkuu??View attachment 3095295
Mzigo wa leo huo lazima nimalize
Ni movie hiyo au??Mmmh angalia homeservice
Nimetokea kuwachukia watu wanaosema "Kama huna D mbili huwezi elewa" sijui kwaniniThe angel you want, the angel you will have! & The devil you want, the devil you will have! So take care dear! 😂🤣
Kama hujaelewa na huna D hata Moja ( yaani ulipata 4 Haina ajira ) pitia kwa rasi simba
Una D ngapi mkuu! Tuanzie hapo 😂Nimetokea kuwachukia watu wanaosema "Kama huna D mbili huwezi elewa" sijui kwanini