Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Mkuu au huna kweli nn? 😂😂😂Nimetokea kuwachukia watu wanaosema "Kama huna D mbili huwezi elewa" sijui kwanini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu au huna kweli nn? 😂😂😂Nimetokea kuwachukia watu wanaosema "Kama huna D mbili huwezi elewa" sijui kwanini
Ndio, kila Kweny watchlist yangu ya week huwa ziko animations 2 hadi 4Huwa unaangalia animation mkuu??
Basi bwana me ndo nimeangalia ile inaitwa vivo daah aisee sony animation pictures wanajua walee jamaa daahNdio, kila Kweny watchlist yangu ya week huwa ziko animations 2 hadi 4
Simpendi Leonardo kwa sababu ya msemo wake, namkubali Gee underscore machineUna D ngapi mkuu! Tuanzie hapo 😂
Hata hizo D huwa sielewi wanamaanisha niniMkuu au huna kweli nn? 😂😂😂
Naijua, vivo ile ya guitarBasi bwana me ndo nimeangalia ile inaitwa vivo daah aisee sony animation pictures wanajua walee jamaa daah
Leonardo anajitahidi mkuu ila kwa upande wa comedy namkubal mc mboneke, jay kiporo, mr mkazi na wengineSimpendi Leonardo kwa sababu ya msemo wake, namkubali Gee underscore machine
Simpendi Leonardo kwa sababu ya msemo wake, namkubali Gee underscore machine
Update system mkuuHata hizo D huwa sielewi wanamaanisha nini
Hiyohiyo daah nimependa the way kale kavivo kanaimbaaaNaijua, vivo ile ya guitar
Mbona unataja watu wa mbeya tu, acha ubaguzi. Kuna Steve ananichekeahaga sana, na mkazi nae yuko vizuri ilaLeonardo anajitahidi mkuu ila kwa upande wa comedy namkubal mc mboneke, jay kiporo, mr mkazi na wengine
Hii. Ni ya taifa ganiMmmh angalia homeservice
I'm up to date 🤴Update system mkuu
Mkazi yale. Maswali ya ikiwa..........Mbona unataja watu wa mbeya tu, acha ubaguzi. Kuna Steve ananichekeahaga sana, na mkazi nae yuko vizuri ila
Kuna puss in boots the last wish, huwa inanifanya kama nacheck movie kali sanaHiyohiyo daah nimependa the way kale kavivo kanaimbaaa
Kashalala huyoHii. Ni ya taifa gani
Hiyo imetoka mwaka gani maana me nimeiona ya kwanzaKuna puss in boots the last wish, huwa inanifanya kama nacheck movie kali sana
Kaniambia am drunkKashalala huyo
Ikiwaaa, ikiwaaa kipenyo cha kichwa changu si sawa na chako, ikiwaaaa umeninyoa vibaya, ikiwaaa unanirudishia chenji mara kumi ya hela niliyokupa, ikiwaaaa😂Mkazi yale. Maswali ya ikiwa..........
2022Hiyo imetoka mwaka gani maana me nimeiona ya kwanza