Commander In Chief
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 315
- 719
enzi zang nilikuwa mtu mbaya sana kwenye haya mamboHeri ya Pasaka..
MADA ENDELEVU.
Kwa lengo la kuchangamsha akili, Ushapu wa akili na Afya ya akili, Tupia hapa...
Swali,
Fumbo,
Puzzles n.k chochote unachohisi kitachangasha akili.
Naamini kuna kitu utaongeza kwenye Memory Yako.
NOTE : Tusichoshane...
Swali Fupi lenye Jibu Fupi...
Mm naanza hapa kwa wale
Ma code crackers..
Tupeni Majibu,
KUMB : Kukosa na kukosea kupo,
Kutotaka kujaribu ndio Kosa kubwa.View attachment 1417457View attachment 1417458
vyote viwili mkuu, mazingira huboost akili ya mtu afanye kitu kulingana na situation husikaHivi mtu anajengwa au kubomolewa na mazingira aliyomo au akili yake.
Mzee hili hembu tusaidie, nimejarb nimeshindwa, wana nao kimya.Another oneView attachment 1419197
Aloo hili ni nyokooo..Another oneView attachment 1419197
Kanisani wanasema destinySwali langu lahitaji tafakuri kidogo..
Je maisha ya mwanadamu yanategemea Fate au Destiny?
Hapo anatakiwa alie kama wao..Mm swali langu hili hapaa..
Huyu Mwanaume Mwenzetu Mpambanaji, anapaswa kufanya nini hapa,
Sehem km hzi ndio za kuchangamsha akili la sivyo watu wanaanika maturubai[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]View attachment 1417597
DestinySwali langu lahitaji tafakuri kidogo..
Je maisha ya mwanadamu yanategemea Fate au Destiny?
Nini tofauti ya destiny na Fate kabla hamjaanza kuchaguaDestiny
Mkuu umetisha sana. Big up brother [emoji106]Aloo hili ni nyokooo..
Nime solve mara mbili, nikaacha mara ya tatu ndio nikagundua trick, kdg tuu niombe poo..
Jibu ni 56,
Kupata namba za chini(jibu)
Unazidisha Namba za juu halaf unazidisha tena kwa 4/3.
(14×3) × (4÷3)=56.
Limeshajibiwa mkuu. Ila nimeweka summary pia.Mzee hili hembu tusaidie, nimejarb nimeshindwa, wana nao kimya.
Fate au destiny ipo ktk uwazalo, ufanyalo, ufikialo na unalolifanya sasa vina asilimia kubwa sana ya kukutengenezea kesho. Asilimia zilizobaki ni ishu za bahati.Swali langu lahitaji tafakuri kidogo..
Je maisha ya mwanadamu yanategemea Fate au Destiny?
672Heri ya Pasaka..
MADA ENDELEVU.
Kwa lengo la kuchangamsha akili, Ushapu wa akili na Afya ya akili, Tupia hapa...
Swali,
Fumbo,
Puzzles n.k chochote unachohisi kitachangasha akili.
Naamini kuna kitu utaongeza kwenye Memory Yako.
NOTE : Tusichoshane...
Swali Fupi lenye Jibu Fupi...
Mm naanza hapa kwa wale
Ma code crackers..
Tupeni Majibu,
KUMB : Kukosa na kukosea kupo,
Kutotaka kujaribu ndio Kosa kubwa.View attachment 1417457View attachment 1417458
6x4x X =32Another oneView attachment 1419197
Aisee ni kweli a see, big up manAloo hili ni nyokooo..
Nime solve mara mbili, nikaacha mara ya tatu ndio nikagundua trick, kdg tuu niombe poo..
Jibu ni 56,
Kupata namba za chini(jibu)
Unazidisha Namba za juu halaf unazidisha tena kwa 4/3.
(14×3) × (4÷3)=56.
Hahahahah. Wazee wa chabo. Ila mnakuaga na mafanikio maishani kuliko wale ma-genius.
Mheshimiwa waziri majibu (In someone's voice)View attachment 1418029