TUPIA HAPA : Swali, Puzzles n.k Watu Wachangamshe Akili

TUPIA HAPA : Swali, Puzzles n.k Watu Wachangamshe Akili

Hizo namba mbili za mwisho zinapatikanaje?



#iam_soooo_dumb
Check chini hapa [emoji116][emoji116]
Mkuu umetisha sana. Big up brother [emoji106]


*Clear summary
Hapo kuna common ratio ambayo ni 4/3(1.3333....)

Inapatikana kwa kugawanya namba ya chini kwa product ya namba za juu;
32÷(6×4)=1.3333...
96÷(12×6)=1.3333...
84÷(9×7)=1.3333...

So kupata namba ya chini ni sawa na namba za juu × common ratio 4/3(1.3333...)

14×3×4/3=56
 
amen...
fanya ivo.
Unachukua(kwenye majibu) namba mbili za kwanza + namba mbili za 2 then unatoa namba ya katikati ya kwenye swali.

Mfano;
5+3+2=151022
15+10-3=22

9+2+4=183652
18+36-2=52

8+6+3=482466
48+24-6=66

5+4+5=202541
20+25-4=41

*Malizia la mwisho

Hapo vipi?
 
Unachukua(kwenye majibu) namba mbili za kwanza + namba mbili za 2 then unatoa namba ya katikati ya kwenye swali.

Mfano;
5+3+2=151022
15+10-3=22

9+2+4=183652
18+36-2=52

8+6+3=482466
48+24-6=66

5+4+5=202541
20+25-4=41

*Malizia la mwisho

Hapo vipi?
Na la bonus je?
 
Unachukua(kwenye majibu) namba mbili za kwanza + namba mbili za 2 then unatoa namba ya katikati ya kwenye swali.

Mfano;
5+3+2=151022
15+10-3=22

9+2+4=183652
18+36-2=52

8+6+3=482466
48+24-6=66

5+4+5=202541
20+25-4=41

*Malizia la mwisho

Hapo vipi?


duh...najiona mzembe sana
 
View attachment 1417503


Sent from my iPhone using JamiiForums

Case ya pili! Majibu yake

IMG_0680.JPG
IMG_0680.JPG
 
Back
Top Bottom