Tupia jina la kocha wa timu yoyote anayekaribia kufukuzwa kazi

Pablo Franco atafukuzwa December 11
Yaani huo mpira watakaopigiwa makoro nausubilia kwa hamu. Foward zao butu, kagere nae hatowaokoa, watakimbizwa balaa. Bocco na Mukoko ndani ya dimba siku hiyo ntacheka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…