Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NIPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOORaha sana
Tulikuwa tunakesha mpaka alfajiri kuchat
Kuna gfsonwin, snowhite, SnowBall, Paloma, Smile,
Kuna wale ambao nilikuwa nakesha nao Pm 24/7 akina Mu-sir, Bufa, Ruhazwe JR, stroke, CHAI CHUNGU, Vegetarian, Inkoskaz, Junior. Cux
Nyie ndo mlikuwa mnanifanya nalala saa kumi alfajiri....siwaoni tena.
Mmeoa au mmebadili ID?
Mie mbona mzungu....sina tatizo.
ChitChat ilikuwa na raha sana mhenga mwenzangu trachomatis
Kwenye hiyo hotel yaelekea JF haipatikani!miss neddy yupo posta hotel moja kubwa ya kitalii
Una ID ngapi mkuu???Unajua muda mwingine inabidi uende na akili ya mtu ilivyo. Anajua mm mwanaume sasa anauliza nn? Ilibidi nikubali ili kupumguza maneno.
Umerudi tena lupango ndugu yangu???Nimetoka Leo kifungoni mkuu
OK..
Cc Roger Sterling.
hahaaaaa ..inapatikana wapi hiyo mkuu..Pluto au marsDuuhhh usikute kazama kwenye bahari ya kinyesi huyu