stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,990
- 4,241
Mbona kama wewe ni kiranga?Kiranga
Labda wewe upate mwenzio Nyani Ngabu anao tayari.Na kwako pia komredi...
Mwaka huu tujitahidi tupate michuchu hapa jamvini
Khaaa...!!Labda wewe upate mwenzio Nyani Ngabu anao tayari.
Kwanza babu una wajukuu wengi jitwalie mmojaKhaaa...!!
Mi nlishakuchagua wewe....Kwanza babu una wajukuu wengi jitwalie mmoja
Sasa mbona mi sikua na taarifa?Mi nlishakuchagua wewe....
Ndo ushaipata sasa. Chukua hatua...Sasa mbona mi sikua na taarifa?
YupoKiranga
Utakuwa hufuatilii Jukwaa la Intelejensia.....Kiranga mbona yupo sana
Nifah yupo pale Jangid Plaza ni Sekretari wa The Matapeli Team (TMT)Nifah
Heaven on Earth
SawaaNdo ushaipata sasa. Chukua hatua...
Hahahhaa.. nilitaka kuandika unae.We mrembo wewe!!
Ninao akina nani hao?
Yuko wapiYupo