Unamkumbuka eeh!!@Eiyer jamanii
Saaanaa jamani, kwenye jukwaa la intelligence kule sijamuona siku mob akiiUnamkumbuka eeh!!
Tuombe heri awe amebadili yuzaneim, la sivyo mimi sipendi kuongea hayo mengine, sipendi kabisa!Saaanaa jamani, kwenye jukwaa la intelligence kule sijamuona siku mob akii
Na atakuwa kabadili ujue!!Tuombe heri awe amebadili yuzaneim, la sivyo mimi sipendi kuongea hayo mengine, sipendi kabisa!
Afadhali, naomba leo nikuvalishe kiatu my mdogo!!Na atakuwa kabadili ujue!!
Hayo mengine tuyaache kwanza
HahahahaaAfadhali, naomba leo nikuvalishe kiatu my mdogo!!
Najua hujavaa sketi fupi haha, sitapata shida wala!!Hahahahaa
Nivalishe tuu jamani my mkubwa
Iko kama hicho kigauni hapo tuuNajua hujavaa sketi fupi haha, sitapata shida wala!!