Kapotea sana aiseee.....
Huyo alikulaga life ban mkuu matusi yake ni yaviwango vya SGRSergio
Deo kisandu, hajulikani alipo tangu ametoka polisi
STUNTER
Mkuu Kisandu nikikumbuka thread zake ni hatari sn police watakuwa walimfunza adabu
Deogratius Kisandu
Ndugu yangu karibu tena, ulijificha wapi ?
Mambo yalikuwa mengi halafu muda mchache, sasa nikawa nakwama kuonekana humu, ila kwasasa nimerudi rasmiNdugu yangu karibu tena, ulijificha wapi ?
I miss you too aiseee.
Karibu tena mkuu, tutaonana kule kwetu Kapuku INC!Mambo yalikuwa mengi halafu muda mchache, sasa nikawa nakwama kuonekana humu, ila kwasasa nimerudi rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app