Huyu nahisi kabadili IDGENTAMYCINE
Malizia mkuu humpi niniAisee!
Ili uje kunifungulia uzi humu!
Wewe sikupi.
Mods wamelalaMODS NAOMBA HAPO MBADILI SUBJECT SIO JANA NI JINA.
Hata wewe waweza kumalizia.Malizia mkuu humpi nini
Mi sijaelewa bhanaHata wewe waweza kumalizia.
Mimi nilikuwa nimeshamaliza.
kaolewa mitala, mume kampiga stop kuperuzi na kudadisi JfFaiza foxy......where is shee.......
Mh Madame B we naye mhenga kama Mimi.. Miye mwenyewe mpotevu wa miaka sasa...ila nawakumbuka sana..kaolewa mitala, mume kampiga stop kuperuzi na kudadisi Jf
Dah walikuwa family hao.. Watu tulikuwa tunachat hadi alfajiri..Asha dii,Faiza foxy ,Rejao,malaria sugu,matola,56Khalfan,preta ,Kiranga,masai dada, hata chief mkwawa wa jukwaa la gadget nae mtoromtoro sikuhizi!
Nimemhamu sasa huyu 'mzee kifimbo cheza' wa jfLe madame Faiza Foxy
Kuna uzi mmoja hivi tangu uletwe hapa hajawahi kuonekana tena.....GENTAMYCINE
Hajabadili bali kwa sasa anatumia ID yake nyingine....Huyu nahisi kabadili ID