Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amiin Insha Allah binamu. 🙏Mashkurra binamu.. Allah akufungulie milango ya kheri na baraka..
Ameen
penny wangu jamaani,au yuko bize na kampeniWanajukwaa. Heri ya mwaka mpya! Poleni na pilika za hapa na pale.
Uzi huu maalum iwe kwa kuwakumbuka memba wa JF ambao kwa sasa hatuwaoni wakitoa michango yao humu. Iwe ametutoka kiroho au amebadili user ID au vinginevyo na kadhalika.
Waliotutoka tutawaombea wapate makazi mema na wagonjwa tutawaombea wapate afya njema warudi humu.
Mimi kuna mshkaji alikuwa anatoa michango mwanana sana ni kitambo simsomi humu anaitwa MANUU basi popote alipo namkaribisha sana
Salaam zitawasilishwa bila shaka..Amiin Insha Allah binamu. 🙏
Wasalimie huko.
Hivi yule wa kuitwaga Heaven on Earth yupo kweli siku hizi??
Inawezekana amepoteza smartphone/computer yakeMshana Jr baada ya uchaguzi kupita kayeyuka, nawasiwasi kama sio marehem anyishe mkono juu
dada Shad! Habarii [emoji4]
Uuwiiii!! Imekuwa bonge la sapuraiizzz bro.dada Shad! Habarii [emoji4]
FaizaFoxyWanajukwaa. Heri ya mwaka mpya! Poleni na pilika za hapa na pale.
Uzi huu maalum iwe kwa kuwakumbuka memba wa JF ambao kwa sasa hatuwaoni wakitoa michango yao humu. Iwe ametutoka kiroho au amebadili user ID au vinginevyo na kadhalika.
Waliotutoka tutawaombea wapate makazi mema na wagonjwa tutawaombea wapate afya njema warudi humu.
Mimi kuna mshkaji alikuwa anatoa michango mwanana sana ni kitambo simsomi humu anaitwa MANUU basi popote alipo namkaribisha sana
salama, heri ya mwaka mpya [emoji4]Uuwiiii!! Imekuwa bonge la sapuraiizzz bro.
Mie sijambo Alhamdulillah. Haya vp uko salama?
Jack Ma (tajiri wa china)Wanajukwaa. Heri ya mwaka mpya! Poleni na pilika za hapa na pale.
Uzi huu maalum iwe kwa kuwakumbuka memba wa JF ambao kwa sasa hatuwaoni wakitoa michango yao humu. Iwe ametutoka kiroho au amebadili user ID au vinginevyo na kadhalika.
Waliotutoka tutawaombea wapate makazi mema na wagonjwa tutawaombea wapate afya njema warudi humu.
Mimi kuna mshkaji alikuwa anatoa michango mwanana sana ni kitambo simsomi humu anaitwa MANUU basi popote alipo namkaribisha sana
Na kwako Pia Bro hatuna budi kumshukuru Muumba kwa kutujaalia kuuona na kuingia salama.salama, heri ya mwaka mpya [emoji4]
Alikuwa anatuburudisha Sana humu...sijui yupo wapiNimesikitika sana @lara1 amechelewa kutajwa!!