Yaah!! Thread za Lara zilikuwa hazichoshi
NIKO HAPAJoseverest
NIMERUDI TENAJoverest
NIPO MKUUJoseverest
Kama sjakosea mzee wa siti ya mbele
Niko hapakapeace
Itakua tunapishana rafiki I hope uko Njema rafikiThanks rafiki. ππ
Hivi ndo tunapishana ama aje rafiki?
Yah!! Nadhani hivyo mana mambo zimekuwa mingi mbaya.Itakua tunapishana rafiki I hope uko Njema rafikibb
Pamoja rafiki uwe na siku Njema mpendwaYah!! Nadhani hivyo mana mambo zimekuwa mingi mbaya.
Mie Alhamdulillah rafiki natumai nawe uko njema pia.
Ahsante kunikumbuka rafiki kipenzi. ππππ
Shukraan mnoo. Na kwako pia rafiki.Pamoja rafiki uwe na siku Njema mpendwa
Amina amina! Ngoja nimalizie kujiandaa rafiki Badae! βShukraan mnoo. Na kwako pia rafiki.
Tubarikiwe siku zote.
Uwwwiii! Basi jiandae rafiki. Mana mwenzio ndo naelekea eti. π€π€Amina amina! Ngoja nimalizie kujiandaa rafiki Badae! β
Habari za Kemondo?Niko hapa