Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2958] tulia ivyo ivyo mama mkwe.[emoji23][emoji23]Kumbe we ba mkwe wangu [emoji134][emoji134][emoji134]
Achana na huyo mwanaume wa dar anaogopa watu@Inna
Khaaaaaa mm nimetulia ila siku zote nilikuwa sijui[emoji2958] tulia ivyo ivyo mama mkwe.[emoji23][emoji23]
DuuuhKuna siku tulikaa wana JF 7 meza moja ila hakuna aliyemfahamu mwingine zaidi yangu tuu
Ninaweza kukufahamu bila wewe kujuaSijulikani wala simjui mtu
Hahahahahaha vimeo in which aspectsNdani ya JF nimekutana na watu wema wengi tu lakini pia vimeo nimekutana nao na kunisababishia majanga mazito... Lakini SIKOMI
Kalumanzila katika ubora wakeNinaweza kukufahamu bila wewe kujua
akili zangu zote zikawaga zinanituma unajua mama mkweKhaaaaaa mm nimetulia ila siku zote nilikuwa sijui
Kuwa mpole mpaka nitakapojitambulisha kwakoHahahahahaha vimeo in which aspects
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Kalumanzila katika ubora wake
Mwalimu mstaafishwaFaizaFoxy.
Huwezi amini ba mkwe nilikua sijui kuna siku uliniita mamkwe nikajua tu matani ya chit chat nikaachana nayoakili zangu zote zikawaga zinanituma unajua mama mkwe
[emoji23][emoji23] mama mkwe [emoji2960] kumbe mimi sio mtu mzima nakupiga faini kwakweliHuwezi amini ba mkwe nilikua sijui kuna siku uliniita mamkwe nikajua tu matani ya chit chat nikaachana nayo
Halafu hii I'd nilikuwa najua ya mtu mzima lakini sasa michango niliyoikuta celebrity mambo ya hiphop nikajisemea tu moyoni mtu mzima gani huyu
utakomaje sasa bahariaNdani ya JF nimekutana na watu wema wengi tu lakini pia vimeo nimekutana nao na kunisababishia majanga mazito... Lakini SIKOMI
Lenho la huyu si nzuri humu hatufahamiani na hatupromote hiloMember gani sasa nafahamiana naye hapa, mbona sikumbuki kama nahafamiana humu.