Tupia kituko ambacho hutokisahau katika familia yako

Tupia kituko ambacho hutokisahau katika familia yako

Daily nikiweka juice, soda, maji yangu ya kilimanjaro kwenye friji huwa nayakuta nusu, siku hiyo nikachukua kopo la kilimanjaro nikaweka maji ya bahari. Na kopo la soda shani nikaweka maji ya magome ya mwarubaini uliochemshwa.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Back
Top Bottom