Tupia majana halisi ya watangazaji wa Redio na TV

Tupia majana halisi ya watangazaji wa Redio na TV

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
2,998
Reaction score
4,948
Baadhi ya watangazaji wanatumi majina bandia(AKA) kwa sababu mbalimbali kama vile ubaya wa majina Original, jina kufanana na la kwenye bibilia mfano Yohana, Yeremia, Petero nk. Kwa hakika sababu za watangazaji kutotumia majina yao halisi ni nyingi na kwa bahari nzuri hawakatazwi.

Sasa tumekuwa tukikiwafahamu baadhi ya watangazaji wakubwa na maarufu kwa majina fake.

Kuna baadhi Yao hawataki kabisa kujulikana kwa majina yao halisi utadhani wako jamiiforums (JF), kwa mfano kuna siku nilikuwa nina sikiliza kipindi cha Milazo cha TBC FM kilichokuwa kikiendeshwa na Dan Chibo, sasa kuna mtangazaji alimwita Dan Chibo 'Daniel Chibombo' jamaa hakupendwa kuitwa vile hadi akapoteza vibe lake.

Tusisubiri mpaka mtangazaji afe ndipo tusikie jina lake halisi, naomba tutupie humu hata kama yanafana na viongo vya siri vya binadamu.

Sasa Mimi naanza kuwataja wale ninaowafahamu kama ifuatavyo:
B12 - Hmisi Mandi
Zembwela - Hilari Daudi.
DJ Fox - Baltazari Makalio
Mamy baby - huyu nimesahau jina lake ambalo ni mbaya mno, mtalikumbishia.
Dulla Planet - Abdala Ambua.

Ongeza unayoyafahamu.
 
Kamarada mbazigwa hassan, hajaficha jina, sport lady jane john huyu naye hafichi jina. Kuna jamaa wa clouds kama privadinho sielewi kama ni jina lake halisi, kuna spiderman jacob kapaya huyu naye ni kama hao wa mwanzo hapo juu, kuna sam sasali ni samwel au samson? Tuje kwa madj, kwa fujo anajulikana ni abubakar sadick, dj mafuvu, dj manywele, dj nico track hawa madj majina yao halisi hayajulikani
 
Kamarada mbazigwa hassan, hajaficha jina, sport lady jane john huyu naye hafichi jina. Kuna jamaa wa clouds kama privadinho sielewi kama ni jina lake halisi, kuna spiderman jacob kapaya huyu naye ni kama hao wa mwanzo hapo juu, kuna sam sasali ni samwel au samson? Tuje kwa madj, kwa fujo anajulikana ni abubakar sadick, dj mafuvu, dj manywele, dj nico track hawa madj majina yao halisi hayajulikani
DJ Nico track anaitwa Nikodemus ila akikusikia unamwita hivyo mtakombana bure. We mwite Nico track mtaelewana vizuri😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom