Sijui anahisi akiitwa kwa hilo jina anapungiwa na nguvu za kiume....M
Sasa mbona Zembwela ana jina Kali kwaiyo wakimuita Hilari David anapoteza vibe au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui anahisi akiitwa kwa hilo jina anapungiwa na nguvu za kiume....M
Sasa mbona Zembwela ana jina Kali kwaiyo wakimuita Hilari David anapoteza vibe au
Oh! Sawa.ni dida na si diva
Najua dolidoli wa Moro ila jina lake silijui.Haya, niambieni lulu diva na dolidoli majina yao halisi ni yepi?
Privaldinho PRIVA ABIUD SHAYOKamarada mbazigwa hassan, hajaficha jina, sport lady jane john huyu naye hafichi jina. Kuna jamaa wa clouds kama privadinho sielewi kama ni jina lake halisi, kuna spiderman jacob kapaya huyu naye ni kama hao wa mwanzo hapo juu, kuna sam sasali ni samwel au samson? Tuje kwa madj, kwa fujo anajulikana ni abubakar sadick, dj mafuvu, dj manywele, dj nico track hawa madj majina yao halisi hayajulikani
Ayayayayaya! Kumbe!Masanja mkandamizaji- Emmanuel Mgaya- EFM
Nikajua anaitwa hivyo hivyo 'masanja'Masanja mkandamizaji- Emmanuel Mgaya- EFM
D'jaro siyo AKA kweli?D'jaro Deus Arungu- Baba mzazi TBC FM
Jina limenitia nyege sana hilo😂 dah noma sana ngoja BICHWA KOMWE - aone hilo jina la Mrs guzbamz
Ni Emmanuel mgaya na Masanja nikajua ni mtu wa shiyanga maana kule ndo naona Masanga au Masanja wengiNikajua anaitwa hivyo hivyo 'masanja'
Basi itakuwaD'jaro siyo AKA kweli?
ndio maana anatumia sana A.K.AJina limenitia nyege sana hilo
Ni jina halisi, huyo ni mjaluo kutaka musoma-Mara. Sasa hivi wanashindana na Peter msechu kwa vitamin.D'jaro siyo AKA kweli?
Mamy Baby anaitwa Mkuwe IsaleNaomba mnitajie majina ya hawa hapa.
Mamy baby
Titi
Dolidoli.
KPMasoud Kipanya - Ally Masoud
Thank you so much! Hili ndo nilikuwa nalitafuta mno.Mamy Baby anaitwa Mkuwe Isale
😂😂😂😂😂😂😂😂Yeah! Mcomvu AKA mafua, makamasi, nk. Alishawahi kuachia ushuzi pale studio mpaka vioo vya aluminium vikapasuka.