Tupia majana halisi ya watangazaji wa Redio na TV

Tupia majana halisi ya watangazaji wa Redio na TV

Kocha mchezaji, Mzee wa kunyamatika- Baraka Maulidi Kitenge.
Huyu ni adui yake Genta kwa sababu anapenda sana kuipamba Yanga. Huwa nikisisoma uzi moja uliyokuwa unamzungumzia kama mtu anayeiogopa kiingereza kuliko kifo hawa nabaki kucheka.
 
Kocha mchezaji, Mzee wa kunyamatika- Baraka Maulidi Kitenge.
Huyu ni adui yake Genta kwa sababu anapenda sana kuipamba Yanga. Huwa nikisisoma uzi moja uliyokuwa unamzungumzia kama mtu anayeiogopa kiingereza kuliko kifo hawa nabaki kucheka.
Nasikia kiingereza alichokijua ilikuwa "are you Simba or Yanga" hapo anaongea na Boss mmoja wa kampuni ya Vodacom aliyeingia stdioni baada ya kusikia mbwembwe za Kitenge na wenzake. Unaambiwa kitenge aliloana kwa jasho mpaka Yule boss wa Vodacom akawa anangalia juu kuona kama kuna kifaa kinachotiririsha maji🤣😂
 
Nasikia kiingereza alichokijua ilikuwa "are you Simba or Yanga" hapo anaongea na Boss mmoja wa kampuni ya Vodacom aliyeingia stdioni baada ya kusikia mbwembwe za Kitenge na wenzake. Unaambiwa kitenge aliloana kwa jasho mpaka Yule boss wa Vodacom akawa anangalia juu kuona kama kuna kifaa kinachotiririsha maji🤣😂
Asije akamwambukiza Zembwela ugonjwa wa kuiogopa kimombo.
 
Huyo alishafunguliwa nyuzi nyingi humu, ni mpumbavu mkubwa sana. Kuna picha yake ngoja niitafute kaachia makamasi kama kondoo sufu, alipumua kwa nyuma pale studio mpaka picha za ukutani zikang'ooka.
🤣Kmmke unachuki binafsi
 
Mkazuzu jina lake halisi ni Yahya Mohammed! Jamaa nimeishi naye Shinyanga,alikuwa fundi cherehani
Je, alikuwa miongoni mwa wale mafundi cherehani waongo waongo wa kuweka kitambaa pembeni ukienda kuchukua nguo mnaanza kutafuta kitambaa wote.

Naomba unijuze.
 
Je, alikuwa miongoni mwa wale mafundi cherehani waongo waongo wa kuweka kitambaa pembeni ukienda kuchukua nguo mnaanza kutafuta kitambaa wote.

Naomba unijuze.
Alikua mmoja wao!

Walikua nakikundi chao,wanajiita UYGK

1. Ushindi
2. Yahya
3. Gérard
4. Kaombwe!

Walikuwa wahuni wahuni tu! Washenzi kweli kweli!
 
Alikua mmoja wao!

Walikua nakikundi chao,wanajiita UYGK

1. Ushindi
2. Yahya
3. Gérard
4. Kaombwe!

Walikuwa wahuni wahuni tu! Washenzi kweli kweli!
Duh! Umenifundisha kitu, njaa ni Nyoko.
Hadi mkazuzu alikuwa na tabia hizo.
 
Back
Top Bottom