Kuna punda wangu hapa nyumbani sasa nitakuwa namwita 'MKUWE ISALE'😂🤣Mamy Baby anaitwa Mkuwe Isale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna punda wangu hapa nyumbani sasa nitakuwa namwita 'MKUWE ISALE'😂🤣Mamy Baby anaitwa Mkuwe Isale
Mkuwe Isale jina zuri sana wala halitishi limepoaThank you so much! Hili ndo nilikuwa nalitafuta mno.
Yaani hili jina nitakuwa nalitumia kumtishia mwanangu akigima kunya uji au kwenda shule.
Kwanini umpe punda?Kuna punda wangu hapa nyumbani sasa nitakuwa namwita 'MKUWE ISALE'😂🤣
NI jina Baya.Kwanini umpe punda?
Ila nyie watu........NI jina Baya.
Tena simpi Yule punda mzuri ninayempenda, nampa yule ambaye simpendi ambaye kazi yake ni kuka tu kubeba mzigo aah!
Mkuu,Kuna punda wangu hapa nyumbani sasa nitakuwa namwita 'MKUWE ISALE'😂🤣
Perception yako we unaamini majina mazuri ni Goodluck, Queen, Grace, Jackline ila hilo Mkuwe Isale ni zuriNI jina Baya.
Tena simpi Yule punda mzuri ninayempenda, nampa yule ambaye simpendi ambaye kazi yake ni kuka tu kubeba mzigo aah!
Angekuwa wa kiume sawa, wa kike hapana.🙅Perception yako we unaamini majina mazuri ni Goodluck, Queen, Grace, Jackline ila hilo Mkuwe Isale ni zuri
Mbona nilisikia kuwa aliolewa na kigogo mmoja au ndo wewe.Mkuu,
Acha kudhalilisha jina la mpenzi wangu
Adam mchomvuJe, yule anaekata mitama wenzie majukwaani jina lake halisi ni nani?
Basi afanye kila liwezekanalo huyo kigogo asigundue kuwa anaitwa mkuwe isale maana anaweza kuachwa na huyo kigogo, au mashine ya kigogo itashindwa kusimama.Mbona nilisikia kuwa aliolewa na kigogo mmoja au ndo wewe.
Kuna punda wangu hapa nyumbani sasa nitakuwa namwita 'MKUWE ISALE'😂🤣
Huyo alishafunguliwa nyuzi nyingi humu, ni mpumbavu mkubwa sana. Kuna picha yake ngoja niitafute kaachia makamasi kama kondoo sufu, alipumua kwa nyuma pale studio mpaka picha za ukutani zikang'ooka.Adam mchomvu
Huyu yuko vyema sanaFull name ni baraka mpenja, a.k.a yake ni sauti ya radi, nadhani mnafahamu tv aliko
Sana.Mnawakumbuka double G, Bety na jezi namba tisa pale radio one? Haya malizieni majina yao halisi.