nakumbuka ckuu mwalim wangu wa history alikua alipokua akitaja baadhi ya kambi za wakimbizi zilizopo afrika mashariki,alituduwaza aliposema "KAMBI YA KAKUMA" ipo kenya
Mgeninani, Yaleyalepuna, Chekenimwasonga, Tundwisongani, Pembamnazi, Kimbiji, Gomvu - Hayo mambo ya Kigamboni sijui Bush (aliyeuziwa Kigamboni na baba Mwanaisha) ataweza kuyatamka. Maana wanasema ukipenda boga sharti upende na maua yake.