Na ule uzi wako wa Ki Lemutuz kweli ulimuacha mtu salama kwa ban aseee...?
To Infinity and Beyond
forex inanibana sana siku hiz mkuu wanguHahahaha mkuu ulipotea sana
HV hii forex ndio kitu gn?!forex inanibana sana siku hiz mkuu wangu
[emoji144]Ngoja utajibiwa tu mkuu.
Mkuu naomba unielekeze,naingiaje kwenye hizo profile zao kujua kuwa wapo banned ...?pia kuna mtu niliona anachaingia mada na huku kwenye avatar kuna neno jekundu la banned....hii imekaaje ??smatskills, Tomaa Mireni
Hahahah, kweli wapo sero mkuu. Ukiingia hapo kwenye profile zao utaona aseee.
Ata Mimi nashangaaMkuu naomba unielekeze,naingiaje kwenye hizo profile zao kujua kuwa wapo banned ...?pia kuna mtu niliona anachaingia mada na huku kwenye avatar kuna neno jekundu la banned....hii imekaaje ??