Tupia member ambaye yuko banned kwa sasa

Hahaa.. Sasa ivi ushaanza kuwabadili majina, na wakati ulikua unamuita king Alexis. Tatizo timu yenu haina future haieleweki inaenda mbele au inarudi nyuma.

Mkuu timu siyo kabila.
We hujasikia aubameyang anatua Emirates.....
Ww wa wapi ww...
 
Unaanzaje kurusha ngumi kwa mahijiano ya kawaida
Nashani kupigwa ban wakati fulani huwa ni kujitakia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…